Musa Ndile ajitosa uenyekiti BAVICHA

Musa Ndile ajitosa uenyekiti BAVICHA

Pamoja2015

Member
Joined
Mar 22, 2014
Posts
23
Reaction score
10
Aliyekuwa mwenyekiti wa CHASO IFM na Mjumbe wa uhamasishaji wa CHASO mkoa wa Dsm MUSA NDILE sasa ajitosa kuwania nafasi ya uenyekiti wa bavicha taifa, akizungumza kwa njia ya simu kamanda huyo anaonekana ni mtu sahihi wa kurith mikoba hyo iliyo achwa wazi na JOHN HECHE ambaye ametangaza hatagombea tena nafasi hyo.. Kuendana na uzoefu aliokuwa nao musa ndile nazani BAVICHA itaimarika zaidi na zaidi pia amewahi kuwa waziri mkuu katka serikali ya wanafunz IFM SO. Mungu amtie nguvu kamanda huyu
 
Wapo wengi na wote ni makamanda, awamu hii tutaona ushindani wa juu.

Mpaka sasa walioonyesha nia na kuchukua fomu uenyekiti bavicha ni makamanda wa ukweli;

1. Ephata Nanyaro
2. Philipo Mwakibinga
3. Ben Saanane
4. Upendo Peneza
 
Wapo wengi na wote ni makamanda, awamu hii tutaona ushindani wa juu.

Mpaka sasa walioonyesha nia na kuchukua fomu uenyekiti bavicha ni makamanda wa ukweli;

1. Ephata Nanyaro
2. Philipo Mwakibinga
3. Ben Saanane
4. Upendo Peneza

I think Ben bado zaidi ya kuonesha nia kati ya Uenyekiti na Ukatibu
 
Hatimaye Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHASO IFM, kamanda wa ukweli MUSA NDILE amejitosa kugombea nafas ya katibu BAVICHA TAIFA, musa ndile ni miongoni mwa makamanda wachache wanaojitahidi kupigania haki ya mtanzania wa kawaida hvyo ni vyema wadau 2kamuunga mkono katika hili. MUSA NDILE amewah kuwa waziri mkuu wa serikali ya wanafunz IFM SO mwaka 2012 na pia amekuwa mwenyekiti wa tume ya uchaguz IFM ELECTION COMITTEE Pia amekuwa mratibu wa CHASO Mkoa wa DSM. Viva musa ndile, vva CHADEMA ,BAVICHA IMARA ITAJENGWA NA VIONGOZI IMARA
 
Hatimaye Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHASO IFM, kamanda wa ukweli MUSA NDILE amejitosa kugombea nafas ya katibu BAVICHA TAIFA, musa ndile ni miongoni mwa makamanda wachache wanaojitahidi kupigania haki ya mtanzania wa kawaida hvyo ni vyema wadau 2kamuunga mkono katika hili. MUSA NDILE amewah kuwa waziri mkuu wa serikali ya wanafunz IFM SO mwaka 2012 na pia amekuwa mwenyekiti wa tume ya uchaguz IFM ELECTION COMITTEE Pia amekuwa mratibu wa CHASO Mkoa wa DSM. Viva musa ndile, vva CHADEMA ,BAVICHA IMARA ITAJENGWA NA VIONGOZI IMARA
 
Andika vitu vya kueleweka ni ukatibu au uenyekiti bavicha?
Usikurupuke hata kama unamnadi!
 
Safi sana kijana ndile....ila unaweza pia kukitumikia chama na watanzania kupitia post tofauti ukiwa ndani ya chama...wish u all ze best aiseee
 
Bahati mbaya hawa wanaokuwa viongozi serikali za wanafunzi ni wapiga dili...
 
Ni haki yake na tupo tayari kumuunga mkono,lakini lazima akumbuke kuwa tunajenga nyumba moja na si busara kugombania fito
 
Binafsi namkubali sana sana huyu kamanda ,nimefanya naye kazi akiwa mwenyekiti wa chama pale IFM mimi nikiwa katibu wake, pia ameitumikia sana chama kwa ngazi ya mkoa,
Ni mtu wa kujituma sana na mpigania haki, kwa vyuo vingi vya dar es salaam wanamfahamu huyu kijana,, huwa hapendi uonevu, chadema angalieni huyu mtu atawafaa sana, nimefarijika mno kwa utayari wake, kwa kweli chama kina hitaji watu wa aina ya huyu kamanda MUSA NDILE.

MUNGU AKUPIGANIE KAKA.
 
Binafsi namkubali sana sana huyu kamanda ,nimefanya naye kazi akiwa mwenyekiti wa chama pale IFM mimi nikiwa katibu wake, pia ameitumikia sana chama kwa ngazi ya mkoa,
Ni mtu wa kujituma sana na mpigania haki, kwa vyuo vingi vya dar es salaam wanamfahamu huyu kijana,, huwa hapendi uonevu, chadema angalieni huyu mtu atawafaa sana, nimefarijika mno kwa utayari wake, kwa kweli chama kina hitaji watu wa aina ya huyu kamanda MUSA NDILE.

MUNGU AKUPIGANIE KAKA.

Wewe ni janga. Sheria za chuo zinakataza member wa political party kuwa kiongozi wa ifmso. Nyie ilikuwaje. Huyu Mussa ana tabia ya kung'ang'ania madaraka.
Sorry hivi ile TV pale cantn ifm mlinunua bei gani vile chin ya uongoz wa mussa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom