ibradebo
JF-Expert Member
- May 8, 2015
- 302
- 177
Hazimi kabisa ila power button kale kataa kanaendelea kuwaka na feni inafanya ila display inakuwa imezimasleep issue ilikuwa solved na updates, ilikuwa toka 2015 sidhani kama bado ipo 2017.
jamaa anasema yake haizimi kabisa, unless sijamuelewa.