Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,735
- 39,838
- Thread starter
- #2,781
Hilo jepesi inakaa.Pia naweza weka naki game mfano mm kuna ka game ka online nataka nikaweke kanaitwa doomsday last survivor.
Hilo jepesi inakaa.Pia naweza weka naki game mfano mm kuna ka game ka online nataka nikaweke kanaitwa doomsday last survivor.
Asante mkuu nataka niende mwanza nikatafute maana mm nipo mkoaniZote used mkuu, Kwa mpya i3 gen ya 12 unaweza ukaipata online around laki 8 hivi.
Alafu mm natafuta Desktop kaka, nitaitumia kwenye stationery ili nikiweka na adobe premiere itakua poa.Zote used mkuu, Kwa mpya i3 gen ya 12 unaweza ukaipata online around laki 8 hivi.
Nimefanikiwa kuunganisha ile pc leo.Hilo jepesi inakaa.
Feni ya maana? Nilikua na machine Nika upgrade cpu pentium kwenda i7 Feni likawa linazidiwa nguvu ikabidi ni badili.Nimefanikiwa kuunganisha ile pc leo.
Inafanya kazi vizuri tu. Shida nikifungua game. Feni zinavuma mno.
Nikifungua game ndio inavuma. Fane nilichukua kama ile ile ambayo nilikuwa natumia kwenye pc ile ndogo. Tofauti ni ndogo sana.Feni ya maana? Nilikua na machine Nika upgrade cpu pentium kwenda i7 Feni likawa linazidiwa nguvu ikabidi ni badili.
Kujua zaidi weka program ya kuangalizia joto. Kama cpu inapata sana joto ina maana feni limezidiwa, kama inavuma tu wakati joto ni dogo ina maana ni settings zako, nenda kwenye bios za motherboard cheza na settings za feni.
Thermal paste kama 3000 tu kkooNikifungua game ndio inavuma. Fane nilichukua kama ile ile ambayo nilikuwa natumia kwenye pc ile ndogo. Tofauti ni ndogo sana.
Nahisi labda shida yaweza kuwa ni thermal paste. Maana sikuongeza nyingine.
Nikipita town nitatafuta..Thermal paste kama 3000 tu kkoo
Water cooling nzuri ila sio lazima sana, kuna cooler zina Alluminium za kutosha zipo Kimya tu.Nikipita town nitatafuta..
Hali ikindelea itabidi niagize water cooling.
Water cooling nzuri ila sio lazima sana, kuna cooler zina Alluminium za kutosha zipo Kimya tu.
Ndio boss. Niliyotoa iko hivi kwenye ile pc ndogo.
Hio i3 gen ya 8 kwa hio bei haina issue, ukiongeza kidogo hio budget unapata i3 gen ya 12 ambayo ni much better.HP ProBook 450 G6 Intel Core i3-8th Gen
Hp Ryzen 3(8cpus)
- Screen Size – 15.6 Inch screen
- Processor – Intel Core i3-8th Generation
- RAM – 8GB DDR4
- Storage – 128 GB + 500GB HDD
- Operating System – DOS
Kwa budget ya laki 600k ip ina value kati ya hizo mbili.
- Ram 8gb
- Storage ssd256gb
- Screen size 13ich
- Color ni light gold
Chief ushauri wako.
Hio i3 gen ya 8 kwa hio bei haina issue, ukiongeza kidogo hio budget unapata i3 gen ya 12 ambayo ni much better.
Hio Ryzen sijajua ni ipi, unaweza uka ulizia specific model? Mfano ryzen 5300U.
Hii kali sana mkuu, kwa hio bei chukua bila wasiwasi.
Asante sana.Hii kali sana mkuu, kwa hio bei chukua bila wasiwasi.
Hii nzuri kuliko i3/i5/i7 gen ya 10 kushuka zote. Pia Ryzen zinakuja na gpu ndani ambazo ni decent, hii gpu inajitahidi kiasi fulani.
Angalia tu mambo mengine upande wako, hali ya machine, ukaaji chaji etc.