Mziwanda Wa Mziwanda
Member
- Jun 28, 2018
- 11
- 11
Habari Zenu wakuu!!!!
Nataka anzisha biashara ya MICROFINANCE lakini Nimefanya utafiti nimeona lazima niwe na mtaji wa 20M ndo nipate kibali BOT , Sasa apa nikipiga hesabu kufikisha 20M ,Ni mpaka mwakani 2026, kwa savings zangu nazofanya kwa Sasa!
Swali Je, hii biashara huwezi kuiendesha bila leseni ??
Naheshimu mawazo yako!, karibu
Nataka anzisha biashara ya MICROFINANCE lakini Nimefanya utafiti nimeona lazima niwe na mtaji wa 20M ndo nipate kibali BOT , Sasa apa nikipiga hesabu kufikisha 20M ,Ni mpaka mwakani 2026, kwa savings zangu nazofanya kwa Sasa!
Swali Je, hii biashara huwezi kuiendesha bila leseni ??
Naheshimu mawazo yako!, karibu