Kama upo Dar ni rahisi kutoboa 😂😂😂Me binafsi nimeshawishak na hii biashar kwa sas nipo kweny process ya kukamilish usajil nianze kufanya kaz ni biashar nzuri kw kweli ukituliza akili unatoboa kimaisha
Hpn nipo znzKama upo Dar ni rahisi kutoboa 😂😂😂
Tembelea maeneo ya Masaki, Oystebay tafuta Walinzi uwe unawakopesha. 100, 000 kwa 40,000.ukiwa na mtaji wa 4 milioni kwa mwaka we ni Bilionea
😆 Niwashawishi Wana bodi wanunue hisa sio?
- Njia nyingine, unaweza kuanzisha mahusiano na mtumishi (mwalimu, nesi n.k) akukopee maisha yaendelee.
- Au unaweza kumtafuta mshirika, ukampa wazo lako na akiliona lina faida , muunganishe mitaji.
- Au tushawishi sisi wanabodi 1000 tununue hisa ya 20,000/= kazi ianze
Huko hiyo biashara ngumu 😃😃😃Hpn nipo znz
Ugumu wake upo wapi ndugu?Huko hiyo biashara ngumu 😃😃😃
Nimeishi huko kama miaka miwili, pande zipi?
Weka sera zinazoeleweka tuchangie ata buku buku.😆 Niwashawishi Wana bodi wanunue hisa sio?
MKuu huu mfumo unafanyane kazi, waweza fafanua kidogo?Tutakusaidia mfumo wa kusimamia biashara yako ya Microfinance, utautumia bure kwa muda wa miezi 6 unaweza ingia 'peloo.app' ili kuweza kuanza kuutumia
Peloo ni mfumo wa computer wa usimamizi wa biashara za mkopo ambapo kwa kutumia mfumo huu ni rahisi kuweza:MKuu huu mfumo unafanyane kazi, waweza fafanua kidogo?
Mim tyr nimeanzisha hii biashara nina miezi 2 kwa sasa namshukur M/Mungu inaenda vzr sana mpka sasa nimefanikiwa kufungua ofisi 2 zikiwa na jumla ya wafanya kazi 7Me binafsi nimeshawishak na hii biashar kwa sas nipo kweny process ya kukamilish usajil nianze kufanya kaz ni biashar nzuri kw kweli ukituliza akili unatoboa kimaisha
Mkuu,ulianza na mtaji kiasi gani maana ndani ya miezi miwili ofisi mbili..inaonesha unakimbiza balaMim tyr nimeanzisha hii biashara nina miezi 2 kwa sasa namshukur M/Mungu inaenda vzr sana mpka sasa nimefanikiwa kufungua ofisi 2 zikiwa na jumla ya wafanya kazi 7
Kweli huyu atupatie uzoefu tujifunze zaidi. Wateja wake ni watu wa namna gani hasa?Mkuu,ulianza na mtaji kiasi gani maana ndani ya miezi miwili ofisi mbili..inaonesha unakimbiza bala
Mtaji tulioanza nao ni M12 tuMkuu,ulianza na mtaji kiasi gani maana ndani ya miezi miwili ofisi mbili..inaonesha unakimbiza bala
Wateja wetu ni wafanya biashar wadog na wakati tunagawa hela kw marejesho ya week kwa mda wa week 6 mkopo ukizidi m1+ marejesh yake ni kw week 8Kweli huyu atupatie uzoefu tujifunze zaidi. Wateja wake ni watu wa namna gani hasa?
Unatumia mbinu gani kupata wateja wa kutosha na waaminifu?Mtaji tulioanza nao ni M12 tu
Tulianza na ofisi 2 kwa pmj
kesho tunafungua nyengine ya 3 ndo inakamlisha hao wafanyakaz jumla wanakua 7
Iyo ya 3 mtaji wake unatoka nje ya izo m2 nna tumeiwekea mtaji wa milion 3 kwa kuanzia