Tunamwaga vipeperushi mtaani vya kutosha na kabla mteja hajapewa hela anaenda kukaguliwa biashar anayofanya kutathmini kama atawez kurudisha mkopo anaopewa baada ya apo hupewa mkopo naUnatumia mbinu gani kupata wateja wa kutosha na waaminifu?
kw mteja mpy lazma azie kias 300k akirejesh vzr bila ya kusua sua anapanda kw 200k