Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,817
- 40,582
Kama hiyo tena zimeboreshwa hakikisha ina bluetooth, dvd na flash disk.View attachment 488985 Ndio hizi si ndio???
Kama hiyo tena zimeboreshwa hakikisha ina bluetooth, dvd na flash disk.View attachment 488985 Ndio hizi si ndio???
Hizo ni 3d surround speakers Mziki wake ni wakawaida na mara nyingi ni kwa wale wanaopenda kucheki muvi hizi ndo zinawafaa sana.Hii inatofauti gani na HI FI ila hizi najua ule mdundo wake sio mkubwa wala mzuri View attachment 488987
Nenda duka linalouza music systems halafu beba flash yako waombe wakupigie wimbo huo huo kwenye HI-FI music na Home Theatre utaona tofauti. Hi-fi ina mziki mzuri sana, home threatre ni nzuri kwa kupigia video, cinema na movie.Hiyo Hifi system ipoje na inatofauti gani na zingine
Hi-fi ina speaker kubwa mkuu, home threatre ni kama sub woofer tu. Hi-fi sio kwenye mdundo tu, haina mikwaruzo na mziki wake ni quality. Wimbo unaoona ni mbaya ukiipiga kwenye Hi-fi utaona ni mzuri. Halafu Hi-fi ukiiwasha wewe uliye ndani hutasikia kelele ila mtu wa nje atasikia kelele.Hii inatofauti gani na HI FI ila hizi najua ule mdundo wake sio mkubwa wala mzuri View attachment 488987
Gharama yake je? Na unatafuta bongo hamna?Hizo zote hamna kitu mimi natafuta kitu kinaitwa BOSE ukisikia acha maneno weka mziki ndo hii hapa![]()
Anhaaa sawa mkuu...unaweza connect na Tv,PcKama hiyo tena zimeboreshwa hakikisha ina bluetooth, dvd na flash disk.
Thankx sanaa basi hzo na achana nazoHizo ni 3d surround speakers Mziki wake ni wakawaida na mara nyingi ni kwa wale wanaopenda kucheki muvi hizi ndo zinawafaa sana.
Unaweza huwa zinakuwa na RCA input. Pia siku hizi kuna hadi zenye hdmi.Anhaaa sawa mkuu...unaweza connect na Tv,Pc
Ila HI FI nazo pia zinatofautiana?Nenda duka linalouza music systems halafu beba flash yako waombe wakupigie wimbo huo huo kwenye HI-FI music na Home Theatre utaona tofauti. Hi-fi ina mziki mzuri sana, home threatre ni nzuri kwa kupigia video, cinema na movie.
Oky nashukuru kwa maelezo inatofautiana na Kampuni auHi-fi ina speaker kubwa mkuu, home threatre ni kama sub woofer tu. Hi-fi sio kwenye mdundo tu, haina mikwaruzo na mziki wake ni quality. Wimbo unaoona ni mbaya ukiipiga kwenye Hi-fi utaona ni mzuri. Halafu Hi-fi ukiiwasha wewe uliye ndani hutasikia kelele ila mtu wa nje atasikia kelele.