mbalazo docta
Member
- Aug 7, 2017
- 44
- 22
Deadline ya kujisajili kama private ni lini na lazima kurudia masomo kuanzia mangapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Deadline ya kujisajili kama private ni lini na lazima kurudia masomo kuanzia mangapi?
kwa ninavyojua princple pass ya diploma inaanza kwenye E but for degree inaanzia DNow ni principal pass ya chuo ni "D" Sio E
Wakuu vip kwa udom, UDSM bacherol ya nurcing kwa mwaka huu ipo??Asome Medicine muhimbili ndo kuna ajira,,vinginevyo ajaze vyeti nyumbani
ya form six apeleke copy ya result slipMdogo wangu kamaliza mwaka huu na vyeti vya form six havijatoka,Afanyaje wakati HESLB wanahitaji vyeti ya form four na form six viambatanishwe kwenye maombi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Principal pass kwenye kiwango cha D ingawa E ni principal pass pia,zenye jumla ya cut of point 4.maana yake D mbili.Mbona mimi ninavyojua PRINCIPAL PASS Mbili ni kwa DEGREE
Ni principle pass pia
Ofcozzz atapata si ana point 4 hapo...labda tatizo vyuo vya afyaHuyu mtu anaweza kupata chuo this year?