Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2017/18

Kama ilivyo hapo juu mimi ni mhitimu kidato cha sita PCB Mwaka jana na nikafauru kwa Daraja la kwanza point 8
Ila nikachaguliwa kwenda Kusoma Bachelor of Science in Nursing
nipo chuo lakn sjaijua vizuri sana hii faculty ya Nursing, mweny ufahamu zaid anisaidie
ahsante

Pole sana , badala ya kusoma makanekia, utawala, uchumi Au vitu vizuri vizuri na points 8.

Ukimaliza utakomo na night na malipo kiduchu na hutapata kwa wakati,
 
Pole sana , badala ya kusoma makanekia, utawala, uchumi Au vitu vizuri vizuri na points 8.

Ukimaliza utakomo na night na malipo kiduchu na hutapata kwa wakati,
Amna things change na ndo ishakua fate xx......mm mbn kna friend wang ana 2 na MD kapata?
 
Nursing kama jina lenyewe ni ku tunza wagonjwa.Kuna wakati mwigine huwa naona kuna matumizi mabaya sana ya akili.Wakati wewe umeenda kusoma Nursing kwa div.1 ya form Six,kuna wenzio wana Bsc nursing wakiwa na div.4 ya O'level.
Kozi yenyewe hata usome hadi uote mapembe,utaishia wodini chini ya maelekezo ya daktari ama tabibu hata kama ana diploma.Wasikudanganye eti utakuwa mtawala.Utawala unaozungumzwa ni ule wa house girl anapobaki nyumbani wakati mwenye nyumba hayupo.Mtawala upande wa Afya ni daktari tu.Always utakuwa chini ya daktari.
Ni sawa na mtu asome digrii ya u house keeper,halafu ategemee kuwa mtawala amapoajiriwa kama house boy au house girl(maid),ujue mtoto akijinyea kazi zako hazibadiliki eti tu kwa vile una digrii.
Maneno yangu utayaelewa sana ukianza kazi.Kwani kwa sasa wako wahitimu wengi sana
 
Nursing kama jina lenyewe ni ku tunza wagonjwa.Kuna wakati mwigine huwa naona kuna matumizi mabaya sana ya akili.Wakati wewe umeenda kusoma Nursing kwa div.1 ya form Six,kuna wenzio wana Bsc nursing wakiwa na div.4 ya O'level.
Kozi yenyewe hata usome hadi uote mapembe,utaishia wodini chini ya maelekezo ya daktari ama tabibu hata kama ana diploma.Wasikudanganye eti utakuwa mtawala.Utawala unaozungumzwa ni ule wa house girl anapobaki nyumbani wakati mwenye nyumba hayupo.Mtawala upande wa Afya ni daktari tu.Always utakuwa chini ya daktari.
Ni sawa na mtu asome digrii ya u house keeper,halafu ategemee kuwa mtawala amapoajiriwa kama house boy au house girl(maid),ujue mtoto akijinyea kazi zako hazibadiliki eti tu kwa vile una digrii.
Maneno yangu utayaelewa sana ukianza kazi.Kwani kwa sasa wako wahitimu wengi sana
Ni kweli thgh inauma
 
Wadau msaada jaman naomba kuuliza mm nimemaliza 4m6 2021 nimepata division 3 ya 13 HGL
Hist-C
Geo-E
Lang-E
Gs-E
Vipi naweza pata chuo gan?
 
Wadau msaada jaman naomba kuuliza mm nimemaliza 4m6 2021 nimepata division 3 ya 13 HGL
Hist-C
Geo-E
Lang-E
Gs-E
Vipi naweza pata chuo gan?
Hilo swali gani ndugu?
Rudi kwenye prospectus ya TCU angalia Cut off points za kozi unazopenda then jilinganishe kama zinakufaa na vipaumbele vyako.

Ukiona cut off points zako hazitoshi usilazimishe eti kisa usome chuo kikuu, unaweza rudi kwenye cheti chako cha form four ukaamua kusoma hata clinical medicine (natolea mfano tu).

Usihesabu jina la chuo kama sehemu ya kuhesabu mafanikio, angalia unaenda kusoma nini? Kuna watu walienda UDSM kusoma kozi zisizo na kichwa wala miguu saiv wanajuta bora wangeenda SÀUT kusoma kozi zenye maana saiv wangekuwa mbali
 
Back
Top Bottom