Muongozo: Mapokezi ya Lissu

Hujielewi!

Kwa hiyo huyo jamaa yenu anakuja kwa miguu?

Ndege za wakuu wa nchi zinaruka popote pale au Unafikiri ugeni ninaozungumzia ni wa wanyoa viduku?

Aliyekudanganya Umaarufu ndo kupendwa ni nani? Waulize walioambulia kura 2 wakitegemea kubebwa na Umaarufu.
 
Nguo nyeusi ni alama ya giza au majonzi. Hiyo jumatatu tutakapovaa nguo nyeusi hii itakuwa ni Alama kuwa hatujadharau msiba wa mzee huyu.
Ninakuelewa vyema mkuu 'Lord'.

Kinachonitatiza ni hii dhana ya 'nyeusi' kuwa "giza au majonzi".

Inaeleweka kwa hao wenzetu walioweka hivyo wao waliiona hivyo, kwa nini nasi tukubali kuwa ni hivyo? Kwa nini kwa mfano tusiifanye 'Njano, au huzurungi, au NYEUPE' kuwa alama "giza au majonzi" kwetu?
 

Usimlaumu endelea kumsomesha taratibu ataelewa tu
 
Inamaana huyu mzee hajafa! Na kama amekufa itakuwa CORONA alitoka nayo kwenye mkutano wa CCM Dodoma. Na wengine watafuata kutoka kundi lile.
Kabisaaa....... Inawezekana ni changamoto ya upumuaji. Alibanwa ghafla na bakupata msaada wa haraka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…