Anastasia21
JF-Expert Member
- Jul 27, 2023
- 2,304
- 5,654
Jaman naweza pata muongozo au mwenye uelewa na team za mipira Kwa mtoto wa kike inatakiwa uwe na kigezo gani? Yaan inshort requirements?
Jaman 💔secretarybird we si Kocha wa mpira.....njoo umchukue kipa mdaka mihogo na ndizi😁
Haiwezekan kuanza ukiwa na 20+Kama umeshafika miaka 19+ endelea na shughuli zingine umeshachelewa.
Umeskia Kwa Nan?Ukiwa mchezaji mechi zako sikosi asee naskia una wezele!
🙂
Haiwezekani labda ucheze mechi za ndondocupHaiwezekan kuanza ukiwa na 20+
SawaHaiwezekani labda ucheze mechi za ndondocup
secretarybird we si Kocha wa mpira.....njoo umchukue kipa mdaka mihogo na ndizi😁
Yeah, mchezaji wa kike anatakiwa awe na vitu vifuatavyo.Jaman naweza pata muongozo au mwenye uelewa na team za mipira Kwa mtoto wa kike inatakiwa uwe na kigezo gani? Yaan inshort requirements?
Usikate tamaa, yote yanawezekana.Haiwezekan kuanza ukiwa na 20+
Anastasia21 muongozo huo hapoYeah, mchezaji wa kike anatakiwa awe na vitu vifuatavyo.
1. Awe na agility (Kasi)yaani awe mwepesi ili aweze kuendana na Kasi ya mchezo. ahimili miliki miliki kwa sababu Mpira wa miguu na kiteni na kindava haihitaji mtu lelemama
2. Awe na composure (utulivu). Utulivu WA mwili na akili ni wa muhimu Sana katika soka.
3. Endurance yaani kuwa fiti kimwili siyo upepo mkali ukipita unakuangusha. Mpira wa miguu na kitemi na kindava hauhitaji mtu lelemama.
4 Nidhamu, nidhamu, nidhamu.
Kwenye ukocha mimi ni balaa tupu.
Kwahiyo amefika sehemu sahihi utamchukua awe mchezaji wako au aendelee tu kugaa gaa na upwaKwenye ukocha mimi ni balaa tupu.
Afanye juu chini aonane na secretarybird for her own betterment.Kwahiyo amefika sehemu sahihi utamchukua awe mchezaji wako au aendelee tu kugaa gaa na upwa
Ntafanya ivyoYeah, mchezaji wa kike anatakiwa awe na vitu vifuatavyo.
1. Awe na agility (Kasi)yaani awe mwepesi ili aweze kuendana na Kasi ya mchezo. ahimili miliki miliki kwa sababu Mpira wa miguu na kiteni na kindava haihitaji mtu lelemama
2. Awe na composure (utulivu). Utulivu WA mwili na akili ni wa muhimu Sana katika soka.
3. Endurance yaani kuwa fiti kimwili siyo upepo mkali ukipita unakuangusha. Mpira wa miguu na kitemi na kindava hauhitaji mtu lelemama.
4 Nidhamu, nidhamu, nidhamu.
Kaanza Kwa umri upi?Usikate tamaa, yote yanawezekana.
Mbona muzize ameweza?