Muonekano wa hii channel ninayoangalia hapa laivu nimeshangaa kuona ina chata ya TBC1 iko vizuri, siku ya kusaini ST. Gorge ilikuwa kichefuchefu sana, naona hata suti ya Sam Mahela inaonekana vizuri kabisa. Ingawa bado mwanzo mzuri.Hongera sana TBC1 Ngoja tuangalie kabumbu itaonekana vipi