kanali mstaafu
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 4,319
- 4,089
Madaraja yamekuwa flyover
Hawa makamanda uchwara kwa wao Nairobi ndio ahera mwanzo mwisho, ha ha ha.Nimeshangaa sana,swala la kueleza tu nini maana ya flyover, tayar mtu kaanza kuleta ujuaji wa kutembea sana ooh Nairobi mara cjui wapi.Ni kweli ujuaji ukizidi mwisho unakua limbukeni
Ukiangalia definition ya flyover, utashindwa kuelewa wanaopinga ile ya tazara sio flyover wanatumia definition ipi.Au ndio mwendelezo wa kupinga kila kitu?
Nipo mmoja hapa.Hakuna mtu ana muda wa kuonyesha appreciation kwa dhalimu.
Nipo mmoja hapa.
Ile sio flyover ni daraja la kawaida kama lile la manzeseView attachment 813233
Hiyo ya kwetu unaiita Flyover, na hii utaiitaje Mkuu..? Pale Tazara lile ni daraja Mkuu..
We huoni tofauti hapo! Pumbaf kabisaKwani kuna tofauti gani hapo au kwa sababu hizo zimepishana? acha kudharau chako utakuwa mtumwa.
Ona sasa ulivyokuwa mjinga na mpumbavu.Mimi nimesema mtu, ww mkewe sijakujumuisha.
Hizi ni chuki binafsi tu,hamna kitu.Hakuna mtu ana muda wa kuonyesha appreciation kwa dhalimu.
Kwa hiyo miaka zaidi ya 50 ya uhuru ccm mnajivunia hilo daraja?!Halafu anakuja Mtu Mzima Na akili zake anasema Tangu uhuru Hakuna kulichofanyika
John Magufuli anahitajiwa Sana Tanzania Kuliko kipindi chochote Kile
Hizi ni chuki binafsi tu,hamna kitu.
Ona sasa ulivyokuwa mjinga na mpumbavu.
Na lile la mazense tuliitaje mkuuDaraja linapita juu ya maji, eg mto nk.
Flyover pass over another road.
Hide your ignorance.
Wewe una uzalendo gani zaidi ya kulamba makalio ya wakubwa hapo LumumbaNje ya Tz hakuongozwi na Magufuli, tunaongelea nchi ya Tz ewe usie mzalendo.
Ha ha ha, bado tu unadhihirisha ulofa na upumbavu wako.Pole kwani kiherere kitakupungua.
Kwa watawala wa Africa hio ni ndoto,vipaumbele vyao sio vya wananchi vyao ni maendeleo ya vitu sio watu.Maendeleo ni kuwa na uhakika wa kula milo yote mitatu na kwa menu nzuri, watu kupatiwa elimu nzuri, huduma nzuri ya afya, maji nk. Flyover ya Tazara, sio kipaumbele.
Mkuu huko nyuma mikopo ilikuwepo, lakini jamaa walipiga,si afadhali huyu vitu tunaviona?Acheni hizo.Usimtafutie sifa asizostahili, hilo daraja ni msaada toka Japan.