Munich Security conference: Netanyahu awakebehi Waajemi

Nakubaliana na wewe Kiongozi; mafuta sio chanzo cha mauwaji hapo Middle East. Tangu enzi za tawala za Babeli, Rumi, Ottoman, n.k. wanachinjana tu hao majamaa. Mudi mwenyewe kakata shingo nyingi sana katika harakati zake zile; watu wengi sana wamekatwa koromeo kwa kigezo cha dini. Duh! Damu nyingi sana zinatoa machozi ardhini ukanda huo.
We jamaa una chuki za kidini hadi shetani mwenyewe akikuona tu anatimua mbio! Hii dunia imekuwa uwanja wa vita kila eneo including Africa lakini hakuna uliyemuona wa kumtolea mfano ni Mtume Muhammad. No wonder hata User ID yako ina elements za kishetani!
 
Middle east inakosa amani sababu ya hawa wayahudi....Binafsi naona wayahudi ni watu ambao wanaubaguzi sana...ni watu ambao hawataki kuchangamana na watu wengine....na hili ndo tatizo...ukiangalia katika historia ya ulimwengu jamii nyingi zimekua zikiingiliana...kwa kuoana ,kuzaliana na hivyo kutengeneza jamii nyingine ambayo inakua ni mchanganyiko wa jamii husika...ni kama hapa Tz..nafikiri miaka 100 mbele makabila yatakufa, sababu watu wanachangamana sana....
Wayahudi wako kivyao, hawataki.wanawaona wenzao kama race ndogo tu....Wayahudi waliwasuppport sana wazungu wa South Africa wakati wa Apartheid...waliwapa silaha etc....
Hawa jamaa historia yao ni ugomvi tu...ukisoma biblia kiujumla utaona Mungu anawapa nchi ambayo sio yao na tayar inakaliwa na wengine matokeo yake ndo haya sasa...watu hawakubali
hapa ndipo ninapopashangaa mungu awape nchi ya watu,basi sio mungu huyo ni karagosi huyo.biblia imewapaisha tu na au ni kitabu cha kizandiki.
 
Sio kushindwa bali muda wake ulishaisha!

Muda wake uliisha lakini alikuwa anaruhusiwa kugombea awamu ya pili.
Swali: Je, aligombea au hakugombea ?? Alishindwa au hakushndwa ??
Utasema muda wake umeisha wakati yeye alitaka kuendelea ??
 
Putin sio tatizo....Putin kaaribu world order ambayo US walitaka kuijenga....Putin and Russia ndio pekee ambao wanawapa changamoto za kiusalama US na western world
Ndo kiongoz pekee aliebaki duniani wa kuivimbia marekani. Wengine wooote ni full kufyata mkia kwa kila jambo
 

Attachments

  • IMG_20180219_102809_579.JPG
    IMG_20180219_102809_579.JPG
    18.9 KB · Views: 31
Muda wake uliisha lakini alikuwa anaruhusiwa kugombea awamu ya pili.
Swali: Je, aligombea au hakugombea ?? Alishindwa au hakushndwa ??
Utasema muda wake umeisha wakati yeye alitaka kuendelea ??
Aliingia madarakani kwa mara ya kwanza mwaka 2005 ambapo first term iliisha 2009. Akagombea tena 2009 na term yake ya pili na ya mwisho ikaisha 2013 ndipo akaja Rouhan.
 
We jamaa una chuki za kidini hadi shetani mwenyewe akikuona tu anatimua mbio! Hii dunia imekuwa uwanja wa vita kila eneo including Africa lakini hakuna uliyemuona wa kumtolea mfano ni Mtume Muhammad. No wonder hata User ID yako ina elements za kishetani!
Pole Mkuu na samahani kama nimekukwaza sikuwa na nia mbaya ila ni mfano tu. Hata wewe una uhuru wa kuchagua mfano wowote. Nikuulize swali rahisi sana; unaifahamu hiyo picha hapo chini?
sword.gif
 
Pole Mkuu na samahani kama nimekukwaza sikuwa na nia mbaya ila ni mfano tu. Hata wewe una uhuru wa kuchagua mfano wowote. Nikuulize swali rahisi sana; unaifahamu hiyo picha hapo chini?
View attachment 697888
Nilikuwa nakupa angalizo lakini kwa bahati mbaya kwangu ni ujuha uliovuka mipaka kujaribu kuleta kashifa kwa imani za wengine. Sio hivyo tu; ni ujuha vile vile kujaribu kuleta mijadala inayoashiria chuki za kidini.

Kwa maana hiyo basi, angalizo nililokupa linatosha na kama interest yako ni hayo niliyo-classify as ujuha, basi nasaha yangu kwako ni kutafuta mtu mwenye mawazo sawa na yako!
 
Nilikuwa nakupa angalizo lakini kwa bahati mbaya kwangu ni ujuha uliovuka mipaka kujaribu kuleta kashifa kwa imani za wengine. Sio hivyo tu; ni ujuha vile vile kujaribu kuleta mijadala inayoashiria chuki za kidini.

Kwa maana hiyo basi, angalizo nililokupa linatosha na kama interest yako ni hayo niliyo-classify as ujuha, basi nasaha yangu kwako ni kutafuta mtu mwenye mawazo sawa na yako!
Mkuu huyo jamaa kwenye comments zako ndiyo yupo hivyo aisee usimshangae
 
Aliingia madarakani kwa mara ya kwanza mwaka 2005 ambapo first term iliisha 2009. Akagombea tena 2009 na term yake ya pili na ya mwisho ikaisha 2013 ndipo akaja Rouhan.

With term limits in the first tenure I totally agree!But in the 2017 he applied again, and their Constitution bars a person to apply for presidency in three consecutive terms....But after getting out of office and trying to renew .Again the Iranian law allows for a former president to re-run after four years out of office. And that's the main reason Ayatollah has to intervene, he advised Ahmadinejad not to run...! Now in proper political terms we can call him a Former president eligible for re-election and not a Retired president just because he reached a compulsory end of tenure in 2013.
 
Nilikuwa nakupa angalizo lakini kwa bahati mbaya kwangu ni ujuha uliovuka mipaka kujaribu kuleta kashifa kwa imani za wengine. Sio hivyo tu; ni ujuha vile vile kujaribu kuleta mijadala inayoashiria chuki za kidini.

Kwa maana hiyo basi, angalizo nililokupa linatosha na kama interest yako ni hayo niliyo-classify as ujuha, basi nasaha yangu kwako ni kutafuta mtu mwenye mawazo sawa na yako!
Acha kurukaruka jibu swali. Swali rahisi tu, hilo jambia la nani? Na matumizi yake yalikuwa nini? Majibu ya maswali hayo yanasherehesha hoja yangu ya mwanzo. Ni kitu kilicho wazi wala hakuna cha chuki wala nini. Nenda jumba la makumbusho pale Istanbul Uturuki utapata maelezo ya kina kuhusu matumizi ya hilo jambia. Tatizo baadhi yenu hamtaki ukweli uwekwe wazi kwa kisingizio cha "chuki" au "kashfa".
 
Katiba inamruhusu Ahmedinejad kugombea japo alionekana kuwa tishio kwa ruling class,wakalikata jina mapema,

ahmadinejad anasupport ajenda za kutetea watu wa hali ya chini,masikini,wasio na kazi
 
Back
Top Bottom