MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 20,897
- 63,783
- Thread starter
- #21
Nakubaliana na wewe Kiongozi; mafuta sio chanzo cha mauwaji hapo Middle East. Tangu enzi za tawala za Babeli, Rumi, Ottoman, n.k. wanachinjana tu hao majamaa. Mudi mwenyewe kakata shingo nyingi sana katika harakati zake zile; watu wengi sana wamekatwa koromeo kwa kigezo cha dini. Duh! Damu nyingi sana zinatoa machozi ardhini ukanda huo.
Hivi lile jangwa lina kitu gani cha ziada ???
To put it clear; tatizo ni Putin!
Naweza kubaliana na wewe mkuu kwamba Putin ameyaamsha na kuyachochea yale ya zamani
Japo tusisahau kwamba Vladmir Putin hakuanza tu kujifanyia haya mambo bila sababu yoyote ile ya msingi.
Maana Marekani na Korea Kaskazini wameanza muda mrefu na Putin ameuta wanaendelea kutishiana tuuu.
Syria nako tangia miaka ya 1947 na Uchina tokea mwaka 1949 hata kabla Putin hajazaliwa......
NB: Kuna kitu hakiko sawa kidogo!