Na hapo ndio mnapokosea maana wewe msimamo wako ni kutokukubaliana na chochote kiitwacho imani, kwahiyo hata unavyokuja hapa kukosoa imani fulani unaikosoa kwa huo mtazamo wa kutokukubaliana na chochote kinachoitwa imani.Imani kiujumla...huwezi jisifia kuamini kitu hakipo huo ni uchizi
Leo hii mtu mmoja mtaani kwenu angeamini Kuna mtu alikuja akafufuka akarudi akapaa kwenda mawinguni je, huyo mtu mngemchukuliaje? Tofauti ya uchizi na dini ni watu wengi Wana dini. Dini inafanya watu wengi waamini kitu ambacho chizi angeamini peke yake. Afu mnasema Imani, mnaipa sifa nzuri ana Imani imara, huo ni uchizi uliyopitiliza.Na hapo ndio mnapokosea maana wewe msimamo wako ni kutokukubaliana na chochote kiitwacho imani, kwahiyo hata unavyokuja hapa kukosoa imani fulani unaikosoa kwa huo mtazamo wa kutokukubaliana na chochote kinachoitwa imani.
Ndio maana mnatumia kauli kama hizo za kusema "mnaamini ambacho hamjakiona" mara "mnaamini ambacho hakipo" mara "hakuna uthibitisho" n.k
Unaweza kueleza hayo yote kwa sababu wewe unapinga imani kiujumla hivyo kwako haijalishi ni imani gani chochote cha imani ni uchizi tu.Leo hii mtu mmoja mtaani kwenu angeamini Kuna mtu alikuja akafufuka akarudi akapaa kwenda mawinguni je, huyo mtu mngemchukuliaje? Tofauti ya uchizi na dini ni watu wengi Wana dini. Dini inafanya watu wengi waamini kitu ambacho chizi angeamini peke yake. Afu mnasema Imani, mnaipa sifa nzuri ana Imani imara, huo ni uchizi uliyopitiliza.
Kwani lazima ujiambie unaamini kesho utamka, Ila tunaishi, ukipanda daladala unahisi utafika tu huwazi kupata ajali, hii sio faith, hii Ni hope. Tofautisha hivi vitu ndo urudi sawa.Unaweza kueleza hayo yote kwa sababu wewe unapinga imani kiujumla hivyo kwako haijalishi ni imani gani chochote cha imani ni uchizi tu.
Ni rahisi kihivyo tu, hata nikisema naamini kesho nitaamka salama napo itakuwa ni uchizi pia.
Mimi nimezungumzia faith sio hope, vyovyote vile mtu anaweza kuchagua kuamini.Kwani lazima ujiambie unaamini kesho utamka, Ila tunaishi, ukipanda daladala unahisi utafika tu huwazi kupata ajali, hii sio faith, hii Ni hope. Tofautisha hivi vitu ndo urudi sawa.
Ila sio lazma uamini hekaya za wayahudi na waarabuMimi nimezungumzia faith sio hope, vyovyote vile mtu anaweza kuchagua kuamini.
Ndio maana nikasema kuamini kuna sababu na dalili zake, hata wewe usiyeamini hizo hekaya za waarabu na wayahudi kuna ambayo unayaamini.Ila sio lazma uamini hekaya za wayahudi na waarabu
Siamini hekaya ya mtu Mimi. Na sio lazima niamini story za watu kuhusu mwanzo na mwisho. Dunia nimeikuta na kuiacha na maisha ni mafupi. Cha muhimu Ni kuishi maisha mazuri na yenye mafanikio.Ndio maana nikasema kuamini kuna sababu na dalili zake, hata wewe usiyeamini hizo hekaya za waarabu na wayahudi kuna ambayo unayaamini.
Hakuna anayekulazimisha kuamini chochote bali kuamni ni katika sehemu ya maisha ya mwanadamu japo wewe unafikiri imani ni kuhusu dini na habari za Mungu tu.Siamini hekaya ya mtu Mimi. Na sio lazima niamini story za watu kuhusu mwanzo na mwisho. Dunia nimeikuta na kuiacha na maisha ni mafupi. Cha muhimu Ni kuishi maisha mazuri na yenye mafanikio.
Imani ni kuamini kitu bila udhibitisho..siwezi kuamini rais ni Fulani mpaka nione uthibitisho. So Imani Ina work kwenye hizo story tuHakuna anayekulazimisha kuamini chochote bali kuamni ni katika sehemu ya maisha ya mwanadamu japo wewe unafikiri imani ni kuhusu dini na habari za Mungu tu.
Ndio maana nasema wewe unadhani imani ni suala la Mungu na dini tu, kwamba nje ya dini na habari za Mungu hakuna imani. Ni vyema ukafahamu matumizi ya imani.Imani ni kuamini kitu bila udhibitisho..siwezi kuamini rais ni Fulani mpaka nione uthibitisho. So Imani Ina work kwenye hizo story tu
Mkuu na mimi niingie kwenye kamjadala. Kweli hapo kuna kujikanganya. Mathew anasema babu wa Yesu ni Yakobo wakati Luka anasema ni Eli.Wapi pamekuchanganya hapo. hakuna ujanga wowote hapo ni kuelimishana
Kama hao mashetani walikuwa na huo uwezo wa kuharibu hata mawazo ya Mungu basi Mungu ni dhaifu mno na mashetani wana nguvu kupitiliza. Kabla hujazaliwa ulikuwa kwenye Mawazo ya Mungu. Sasa Shetani akawezaje kudhuru nyota yako ambayo iko fikrani mwa Mungu?Katika ulimwengu wa giza yaani falme na mamlaka katika ulimwengu wa Roho walikuwa wanaweza kuona nyota yako miaka hata mia (100) kabla hujazaliwa na kuchukua kila kitu au kukubadilishia kusudi la kuumbwa kwako, Lakini wengi hawajui hilo.
But KITABU (biblia) kilikuwa kinatumika hasa katika ulimwengu wa giza kuweka maagano ya kumfunga mwenye haki.
We unaweza amini kwamba we usiku ukilala unakuwa Simba mwituni lakini ukiamka unakuwa binadamu na huna kumbukumbu. If not siwezi amini dini zako.Ndio maana nasema wewe unadhani imani ni suala la Mungu na dini tu, kwamba nje ya dini na habari za Mungu hakuna imani. Ni vyema ukafahamu matumizi ya imani.
Mkuu imani ina sababu za kuamini na ndio maana watu hutofautiana tunavyoviamini, kwahiyo mtu anapoamini jambo fulani anakuwa na sababu za kuamini hilo jambo.We unaweza amini kwamba we usiku ukilala unakuwa Simba mwituni lakini ukiamka unakuwa binadamu na huna kumbukumbu. If not siwezi amini dini zako.
Akiweza kukujibu kwa ufasaha niite Bobby nimekaa palee kwny konaKama hao mashetani walikuwa na huo uwezo wa kuharibu hata mawazo ya Mungu basi Mungu ni dhaifu mno na mashetani wana nguvu kupitiliza. Kabla hujazaliwa ulikuwa kwenye Mawazo ya Mungu. Sasa Shetani akawezaje kudhuru nyota yako ambayo iko fikrani mwa Mungu?
Ongelea na walemavu na wenye magonjwa maisha Yao yote...au zawadi wanaipata mbinguni wakipatia kubet Mungu gani wa kweli Kati ya 4562 waliopoNo njia moja wapo ya MTU uweza kufariki na kifo nilazima hata usipokufa kwa ajali.
Ukitoa kuzaliwa katika family ambayo Ina Imani yako, na kuzungukwa na jamii yenye watu wenye hio Imani, na kufundishwa tokea odogoni kwamba ndo dini ya ukweli kwa Sababu wazazi wako wanaamini na wamekupeleka kanisani/msikitini, na ukitoa kutishiwa kuunguzwa usipoamini. Na kuambiwa utaenda peponi ukiamini. Nipe sababu na dalili za we kuamini.Kwenye imani kinachoangaliwa ni sababu na dalili za kuamini hicho unachoamini, sasa sijajua tatizo lako ni imani kiujumla au ni hiyo imani ya Mungu tu?
Si ukweli...sio sifa ungekuwa una Imani Sana ungeamini Babu Christmas na zumaridi kwenda mbinguni na Motoni, Ila huamini hivyo kwa Nini unachagua kuamini story moja sio nyingineNa hapo ndio mnapokosea maana wewe msimamo wako ni kutokukubaliana na chochote kiitwacho imani, kwahiyo hata unavyokuja hapa kukosoa imani fulani unaikosoa kwa huo mtazamo wa kutokukubaliana na chochote kinachoitwa imani.
Ndio maana mnatumia kauli kama hizo za kusema "mnaamini ambacho hamjakiona" mara "mnaamini ambacho hakipo" mara "hakuna uthibitisho" n.k
Sio uchizi coz Kuna watu wanalala wanaamka kesho, Kuna wewe ambae kila siku mpaka Leo unalala una amka kesho, so siwezi sema ni uchizi. Lakini kusema kwamba ukifa unaenda dunia ya 7 sijui mbingu ya nane kukutana na mtu sijui Mungu aliyekuja nchi moja katika ulimwengu wenye nyota billions na kuzaliwa kwa bikra (Kama miungu wa dini zingine za mda huo Kama Krishna, Horus etc) na kufa na kufufuka Kama miungu mingine, na huyo mtu arudi siku ya mwisho dunia nzima itamwona(coz dunia ni middle east tu na ni flat) halafu atapigana vita sijui nyota zitaanguka. Huwezi fananisha hope ya kuamka kesho na faith ya huu ujingaUnaweza kueleza hayo yote kwa sababu wewe unapinga imani kiujumla hivyo kwako haijalishi ni imani gani chochote cha imani ni uchizi tu.
Ni rahisi kihivyo tu, hata nikisema naamini kesho nitaamka salama napo itakuwa ni uchizi pia.