Mhujumu Uchumi
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,575
- 3,515
Uturuki mkuu ndo wana hii "cast spelling"Uchawi wa hivo upo Thailand, Singapore, sirilanka, yaani nchi za kanda hiyo...
Uturuki mkuu ndo wana hii "cast spelling"Uchawi wa hivo upo Thailand, Singapore, sirilanka, yaani nchi za kanda hiyo...
Mambo ya siasa hayoNimeiona hii picha ikrend sana mtandaoni hususan watssap!
Na reactions za watu haswa zinaonyesha huu ni aina ya uchawi hatari sana na unaoogopwa
Maana ukitazama hata picha inaonekana kutisha
Wakuu huu ni uchawi wa aina gani?mbona nikisikia baadhi ya maelezo ya watu wanasema usiombe ufanyiwe hivi?
Nimebaki njia panda nikijiuliza ni aina gani ya uchawi maana wengi wamebaki wakisema "wanamuonea huruma huyo alofanyiwa atakua ana hali mbaya au hata ashafariki"
Binafsi hadi nimeingiwa na hofu sana
Ni aina gani ya uchawi huu ?View attachment 1510236
Nini maana yakeVoodoo
No hapo kuna mtu kafungwaPia inaweza ikawa sio uchawi wa kumroga mtu bali zindiko la "kinga" au mtia nia anajaribu kufanya maarifa ili jina lake lisikatwe.
..Africans ni rahisi sana kushawishika bila ya kujiuliza mara mbilimbili.....HIYO PICHA PAMOJA NA HII HIZI ZIMETOKA KATIKA MITANDAO YA KIARABU NA WATU WAMEYAJAZA MANENO WALA HAINA MAHUSIANO HAPA KWETU KABISAAA ,
BINAFSI NISHAIKUTA KATIKA PAGE MOJA TIBA YA KIARABU
KWAHIYO HIYO WATU WAMEICHUKUA NA KUANDIKA MANENO SIJUI IMEKUTWA WAPI NA BRA BRAA NYINGIView attachment 1511048
Mods Active Moderator hii picha wabongo wameongezea maneno tu, haina ukweliHIYO PICHA PAMOJA NA HII HIZI ZIMETOKA KATIKA MITANDAO YA KIARABU NA WATU WAMEYAJAZA MANENO WALA HAINA MAHUSIANO HAPA KWETU KABISAAA ,
BINAFSI NISHAIKUTA KATIKA PAGE MOJA TIBA YA KIARABU
KWAHIYO HIYO WATU WAMEICHUKUA NA KUANDIKA MANENO SIJUI IMEKUTWA WAPI NA BRA BRAA NYINGIView attachment 1511048
Yesu mwenyewe aliwekwa msalabani akashindwa kujiokoa.Achana na imani za kishirikina. Mpokee Yesu awe bwana na mwokozi wa maisha yako.
Shikamoo cag