Jiwe anamloga membe asiwe raisi ccm ina vigagula hatariNimeiona hii picha ikrend sana mtandaoni hususan watssap!
Na reactions za watu haswa zinaonyesha huu ni aina ya uchawi hatari sana na unaoogopwa
Maana ukitazama hata picha inaonekana kutisha
Wakuu huu ni uchawi wa aina gani?mbona nikisikia baadhi ya maelezo ya watu wanasema usiombe ufanyiwe hivi?
Nimebaki njia panda nikijiuliza ni aina gani ya uchawi maana wengi wamebaki wakisema "wanamuonea huruma huyo alofanyiwa atakua ana hali mbaya au hata ashafariki"
Binafsi hadi nimeingiwa na hofu sana
Ni aina gani ya uchawi huu ?View attachment 1510236