Ndekrepha
JF-Expert Member
- Jun 4, 2020
- 1,506
- 2,652
Usiogope mkuu! Nakwambia hivi hakuna baya litakalokutokea endapo Mungu aliye hai hajaruhusu ww yakukute. Yatakukuta tu endapo Mungu ameruhusu ajidhihirishe kwao au kwako.
Mwisho Wa yote na sote ni kifo.
Salute comrade. Hii ndio maneno.