Mungu wa Wachaga avunjwa

Mungu wa Wachaga avunjwa

Status
Not open for further replies.
Jaribu kutumia akili unapojenga hoja kijana, sio kibwatuka tu km wanywa kangara.
Hapa mungu wa kichaga kauawa! Sio kitabu cha wachaga.

Kitabu unachoongelea wewe ni kitabu cha waumini na SIO MUNGU WAO, na niwajibu wao kukitunza na kukiheshimu na akitokea kenge wa kukiletea dharau waumini wanaofuata kitabu hicho wana haki ya kukata makende ya huyo muhalifu.
Au kumfanya lolote walitakalo kwa kukidharaulisha Kitabu Chao.

Huyu binti wanasema kamuua mungu ambae alikuwa hana uhai Anyway!
Sasa hata akipelekwa mahakamani kwa kosa la kuua, ameua kipi chenye UHAI?

Fikiri kidogo Ngongo

Unamtafsiri mungu wa kichagga kwa mtazamo wa mungu wako wa arabuni.
Nani kakwambia tunatakiwa tukate makende tukichaniwa kitabu. Kati ya kitabu na mungu kipi bora. Em nenda huko nabtali weee.. Kizazi cha mtumwa. Pepo huna wewe
 
Last edited by a moderator:
Maswali mazuri yanaonyesha ufahamu wako haujaharibika kabisa

Huyo wa kichagga yupo physical, ndio maana ameweza kushikwa na huyo binti. Tofauti na wakwako ambaye hayuko na physical.
Hata hivyo amejitetea ndio maana unaona wanafamilia wanamsaka binti kwa udi na uvumba baada ya kufikwa na mabalaa.

MaSwali hayo hayo unaulizwa wewe pia..? Mungu wako hawezi kujitetea kama huyo wa kichagga? Mbona mnamsaidia kuangamiza watu. Jibu ili nijue akili zako hazijaharibika zote.

Na aliyekwambia sisi tunaua ni nani? Au baba 2013 akishakula ganja anakuhadithia Movie ya Rambo ukatuletea hapa sio?

Unasema mungu wa kichaga kajitetea, km ana ubavu huo kwanini asimpige kisonono huyo muuwaji kabla hajamalizwa na mapanga?
Teh teh teh teh.

Nyie wanywa damu zilizo changanywa na uharo wa mbuzi (kichuri) mna fikra mbovu sana aisee!
Dah!
 
Last edited by a moderator:
Unamtafsiri mungu wa kichagga kwa mtazamo wa mungu wako wa arabuni.
Nani kakwambia tunatakiwa tukate makende tukichaniwa kitabu. Kati ya kitabu na mungu kipi bora. Em nenda huko nabtali weee.. Kizazi cha mtumwa. Pepo huna wewe

Sasa kwa sababu wewe ni mchaga na unaabudu hii miungu ya sebuleni hebu tusaidie jibu hapa.
Hivi nini hasa lengo la kuwa na hii miungu chumba ambayo haiwezi hata kujinusuru yenyewe kwa binti km huyu mwenye hasira?

Nini hasa kazi ya hii miungu mpaka mkaamua kutoa zawadi nono kimkamata muharibu mungu wenu??
 
Na aliyekwambia sisi tunaua ni nani? Au baba 2013 akishakula ganja anakuhadithia Movie ya Rambo ukatuletea hapa sio?

Unasema mungu wa kichaga kajitetea, km ana ubavu huo kwanini asimpige kisonono huyo muuwaji kabla hajamalizwa na mapanga?
Teh teh teh teh.

Nyie wanywa damu zilizo changanywa na uharo wa mbuzi (kichuri) mna fikra mbovu sana aisee!
Dah!

We unadhani ni yule mungu wa kiarabu aliyejigeuza jiwe jeusi.

Unamshauri mbinu mungu wa wachagga. Amekuomba ushauri?
We kweli busha linakutesa vibaya. Nitapiga mluzi manake naskia halipendi miluzi
 
Last edited by a moderator:
We unadhani ni yule mungu wa kiarabu aliyejigeuza jiwe jeusi.

Unamshauri mbinu mungu wa wachagga. Amekuomba ushauri?
We kweli busha linakutesa vibaya. Nitapiga mluzi manake naskia halipendi miluzi

Kumbe mungu wa kiarabu ana uwezo wa kujigeuza jiwe jeusi sio?
Dah.
Mi ndio naskia leo hii.
Basi atakuwa na uwezo mkubwa sana aisee!
Sasa Huyo wa kichaga aoiyepigwa mpaka kuvurugika ana uwezo gani?
Hebu tupe darsa kidogo. Nadhani we kidogo mtaalamu wa hii miungu.
 
CE31thmUIAE2dXC.jpg:large

Gazeti la Mwananchi la leo. Sasa sijui kama amemvunja 'Mungu' polisi binadamu watamkamataje. Nadhani mashitaka kama haya ndio tutegemee kwenye sheria hizi mpya mpya. hahaha, ..."umemfotoshopu mungu intentionally and unlawfully"

Hahahaha hawa jamaa zetu kila siku vituko haviishi kama vya FUTUHI.
Naona wamejipa majina ya mitume na Manabii hadi wakaona wajiite Mungu, Afu hao Manabii wao walivyo wengi hata wale wa M/MUNGU ni wachache.
 
Sasa kwa sababu wewe ni mchaga na unaabudu hii miungu ya sebuleni hebu tusaidie jibu hapa.
Hivi nini hasa lengo la kuwa na hii miungu chumba ambayo haiwezi hata kujinusuru yenyewe kwa binti km huyu mwenye hasira?

Nini hasa kazi ya hii miungu mpaka mkaamua kutoa zawadi nono kimkamata muharibu mungu wenu??

Hata Mimi napata Shida kujua kwanini mungu wako analazimisha watu wamfuate. Na kwanini analindwa na binadamu. Na kwanini hawezi kujitetea.? Kwanini kwanini..
Ila huyu wa kichagga nimegundua wanahofu wanaweza wasimpate huyu binti kama hawataweka kitu kidogo
 
Nadhani angetakiwa awe mungu kwa herufi ndogo, hivyo ndivyo inavyoandikwa kwa miungu yote (gods) ILA Mungu (God) ambae ni mmoja (M) au (G) huandikwa kwa herufi kubwa
 
Naona tangazo hili ni sawa na kipindi cha futuhi maana kinachekesha sana na kuvunja mbavu
 
Naona kuna matumizi mabaya ya Jina la Muumba wetu , MUNGU WETU HAFANANISHWI NA CHOCHOTE yeye ni baba wa dunia na vyote vilivyomo ndan yake na visivyokuwamo , vinavyoonekana na vinavyoonekana

ALFA NA OMEGA , Tafakari ukuu wa MUNGU wetu then ndy uweze kumzungumzia

Amri ya tatu: Usilitaje bure Jina la Bwana MUNGU

Amri ya kwanza; Usiwe na Miungu mingine ila mimi.
 
Mkuu kahtaan, huyo aliyeuawa anaitwa mungu, lakini ninayeomba amlinde ni Mungu.

Kuna hadithi nzuri sana kwenye hili tukio kama tungepata mtu wa kuelezea kwa undani kisa cha mungu kupigwa na kualiwa na mtoto wa kike.


Sasa mbona unatuchanganya hapo! ?
mungu wake ameshamkatakata mapanga na kumuharibu vibaya sana, sasa huyo wa kumlinda atoke wapi wakati kaisha kufa na mtuhumiwa kalala mbele?
Au wachaga wenye imani hizi wana miungu mingine mikubwa kuliko huyu marehemu ambayo unaiomba imlinde muhalifu?
 
Nimeona tangazo katika gazeti la mwananchi kuna member aliweka humu jamvini. Hili kabila linaongoza kwa kumuasi Mungu lakini kwa kujifanya wapo jirani naye ndo wa kwanza.

Hayo ndo wanayofuata huko Desemba, watakuja hapa kutetea uhayawani huu wa kuabudu masanamu.
 
Kilimanjaro ilishakunywa DAMU ya

Yesu siku nyiiiiingi hayo ni mambo ya familia zilizobakia gizani..

Hebu tizama hapa:beer:
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom