Mungu wa Wachaga avunjwa

Mungu wa Wachaga avunjwa

Status
Not open for further replies.
Kwahiyo unataka kusema Mungu wao hana nguvu hadi asaidiwe na wanadamu.Maana hapa kuna Mungu wa Wachagga kavunjwa na binti mdogo sijui kama angetoka mtu kama John Cena ingekuwa vipi.

Hawa wanachekesha tuu hakuna Mungu aliyevunjwa na wachagga labda mila zao .
 
wapo wengi tu ndiyo maana tunatambika...... mkuu muache kudharau Mungu wa mwenzenu binti kamvunja Mungu wa oldi moshi kama mkimuona huyo binti mpelekeni.. acheni itikadi

jana kuna sehemu nilimwona sikujua kama anatafutwa
 
jana kuna sehemu nilimwona sikujua kama anatafutwa
ukimwona tea nipigie simu nimpeleke wanipe hela aisee.. najua wengi hamtaki hela za mungu wetu wa asili .. mantaka za mungu wa wazungu na waarabu
 
Yuko kwangu nimemficha ananipa style alizomvunjia huyu mungu!! Sijui ilikuwa Makarateee au makunfuuu au ilikuwa mieleka Kama john cena
 
Na kweli kituo cha Polisi wakaandikia RB ili atafutwa ?

Je huyo Mungu wao wamemwandikisha ? Yaani Kama wakristo na Waisilamu wanavyoabudu na kuwa Wameandikishwa kama taasisi za Imani.

Huyo Mungu na hiyo Jamii inayomwamini na kuabudu lazima kwanza wawe wamesajiliwa na Polisi kuona Usajili ndiyo wafikie hatua hiyo ya kuandika RB !
 
Jamani tangu may2011 UPENDO hajapatikana iweje watoe tangazo leo??
Niwekeeeni kiwango cha hiyo zawadi NONO ili nikamlilie MUNGU wangu wa Kisukuma afanikishe kumtia mikononi UPENDO.
 
Sijaelewa huyo mungu wenu alikuwa wa shaba, mti au mabox mwepesi kiasi cha kuvunjwa na binti Upendo?
Halafu nyie wachagga si mnaamini katika nguvu za jani la SAALE kwanini lisingefanikisha kumtia upofu au kumrudisha Upendo? na mnamtafuta upendo ili iweje? mumuue au? polisi nao wameingia mkenge kutoa rb kwa kitu cha kufikirika?! hii kesi itaamliwa kupitia mahakama ya kichagga/kadhi au jamhuri?
cc miss chagga Asprin etc
 
Last edited by a moderator:
Sijaelewa huyo mungu wenu alikuwa wa shaba, mti au mabox mwepesi kiasi cha kuvunjwa na binti Upendo?
Halafu nyie wachagga si mnaamini katika nguvu za jani la SAALE kwanini lisingefanikisha kumtia upofu au kumrudisha Upendo? na mnamtafuta upendo ili iweje? mumuue au? polisi nao wameingia mkenge kutoa rb kwa kitu cha kufikirika?! hii kesi itaamliwa kupitia mahakama ya kichagga/kadhi au jamhuri?
cc miss chagga Asprin etc

we kisima lazima ujue unatuita tunatoka kanda ipi ya uchagani... mimi na babau Asprin tunatoka kwetu.. babu embu tutafute huyu mtu tupate hela ya kwenda kwa kombe
 
Last edited by a moderator:
Na kweli kituo cha Polisi wakaandikia RB ili atafutwa ?

Je huyo Mungu wao wamemwandikisha ? Yaani Kama wakristo na Waisilamu wanavyoabudu na kuwa Wameandikishwa kama taasisi za Imani.

Huyo Mungu na hiyo Jamii inayomwamini na kuabudu lazima kwanza wawe wamesajiliwa na Polisi kuona Usajili ndiyo wafikie hatua hiyo ya kuandika RB !
lazima watakuwa wanamjua huyo Mungu ., ukipeleka taasisi yeyote eneo lolote lazima usjue jamii ile unayoiongoza inafanya nini? na si kuamisha imani zako kwenye jamii ingine.... mkuu bila kufanya jambo lolote lazima ujue ile jamii ni ya aina gani?
 
Kweli hawa watu wabahili...hata tu kuweka zawadi kwa atakayemwona wameshindwa.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom