kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,457
- 5,896
Halafu akaenda kuchukua RB polisi?
Alikua taabani angewezaje kwenda polisi?
Halafu akaenda kuchukua RB polisi?
Saa kama amemvunja mungu wao watamkamata kweliHahahahaaaaaaaa hio noma sana
Wachanga tumeendelea paka mungu wetu tunayeMungu gani anavunjwa ? @misschagga kumbe mna kamungu kenu uchwara !
Sent using Jamii Forums mobile app
Yupi huyo mungu aliyejeruhiwaNdipo nnaposhindwa kuelewa hata yule mungu aliyejeruhiwa alishindwa kujiokoa napata mashaka sana kwa kweli.