Mungu wa Makonda yu wapi?


jaji mfawidhi, Wakatoliki hawamwabudu Mama Bikira Maria ila wanamuheshimu(venerate her and not adore) so if you don't know the difference between adore(worship) and venerate then consult your Imam or any professor of Islamic affairs(sharia law) usiende kwa hao wenye fikra za Daesh/ISIS watakupotosha.
 
Muda mwingine hasira zinazidi. Nitajitahidi kufanya hivyo. Asante kwa shauri jema! UBARIKIWE
Asante ndio nini
nenda kwanza kaungame kisha sema Asante Yesu kwa Neema ya Msamaha ambayo hukuistahili bali ulistahili Hukumu..
 
Mungu Mwenyezi Amemuheshimu huyu Mama itakuwa hawa viumbe dhaifu mbugila mbugila..
 
MUNGU wa makonda yuko Mbinguni
 
Vyeti
 
Yeye ni kiongozi na serikali haina dini hivyo dini yoyote inaweza kumuombea kiongozi wao
 
Asante ndio nini
nenda kwanza kaungame kisha sema Asante Yesu kwa Neema ya Msamaha ambayo hukuistahili bali ulistahili Hukumu..
Kumbe hunijui, I do not believer in the existence of the so called God! Oh kumbe hunijui! Naweza nikafuta all what I have confessed! and maintain the status quo!
 
Kumbe hunijui, I do not believer in the existence of the so called God! Oh kumbe hunijui! Naweza nikafuta all what I have confessed! and maintain the status quo!
nikujue wee nani
heri nijue ugali mboga iwe ubwabwa nitashiba...kulikuwa na watu wenye kiburi cha uzima we we chamtoto..kama hujui umuhimu wa makalio kalia kichwa...
 
Yeye mwenyewe si alijiita mungu.....!!!!

 
Mtahangaika sana.
 
Bila kumuongelea Makonda ni kama hamuwezi kula. Kweli amewaweza wengi

Hapa kazi tu
Hahahaha amemuweza nani...leo uko kwa mashehe kesho kwa maaskofu keshokutwa i bet hatujui labda kwa waganga ...mara.nmetupiwa majini aahhahaha.kwani mental disorders hua zinaanzaje...kila mahal anapogusa panateleeza..eti katuweza ...hahaha

Hapa vyeti feki tu
 

ha ha ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…