Mungu wa kwenye Biblia ameua watu wengi kuliko shetani. Shetani kaua watu 10 tu

Nilidhani utaweka aya
We mvaa kobazi nakupa aya zaidi ya moja kuonesha jinsi Allah atakavyowapa mabikra wakuwastaresha
Screenshot_20231016-155851_1697461345926.jpg
Screenshot_20231016-155938_1697461302678.jpg
Screenshot_20231016-160003_1697461268043.jpg
 
Ilikuwaje tena Taifa teule la Mungu likamuua mwana wa Mungu?! Haya mambo mi mwenzenu sielewi!
 
Kwani wewe ukiwa umejifugia kuku wako huwezi kuwachinja? Kwani kama kuku mmoja ana mdomo wa kula mayai ya kuku wengine, utakuwa unamwacha tu aendelee kusababisha madhara? Mungu ndio hakimu wa viumbe vyake. Mfugaji ndiye hakimu wa mifugo yake. Ushindwe na kuregea kwa jina la YESU.
Kw jinsi ulivoelezea ni kama vile binadamu ni mfugo wa mungu, kama tufugavyo kuku nk. Kwamba mbuzi akiambiwa binadamu ndo mbaya wako atabisha! Binadamu wote tunatambua anaetula roho zetu kajibinafsishia! Na shetani akituambia tunaemuabidu ndo mbaya wetu, tunambishia! Utasikka shidwa kwa jina la muhamad! Khaa..!!!
 
Ilikuwaje tena Taifa teule la Mungu likamuua mwana wa Mungu?! Haya mambo mi mwenzenu sielewi!
Yohana (Joh) 10:17
Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena.

18: Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa mwenyewe. Nami ninao uweza wa kuutoa, ninao na uweza wa kuutwaa tena. Agizo hilo nalilipokea kwa Baba yangu.
 
Back
Top Bottom