Mungu si Athumani Kasie ameinuka tena.......

Mungu si Athumani Kasie ameinuka tena.......

Si wasukuma shemeji zako hata hutuagi, shauri yako ngoja tukupige fitina kwa mjeda
 
Na Mimi Mimi nimehamia mahezangulu bumbuli full bata njooeni aisee


Bibie Mwamvita Makamba umeniacha hoi hapa kwa kauli yako, ati Bumbuli full raha....wananchi wenzako wanalalamika kila kukicha kwa ukata.
 
Ohooo....we Kasie utafanya watu wadhani mimi niko nawe huko bondeni.....
 
Back
Top Bottom