Mungu si Athumani Kasie ameinuka tena.......

Mungu si Athumani Kasie ameinuka tena.......

Kasie nasubiri about James ujue[emoji4]
Hahaaa
Mbona mwepesi kusahau na mgumu kuelewa mamii.... James atarudi kipindi cha pasaka ila......
Kwa kijiwe kipya hiki ntaweza kuonana nae kabla ya pasaka maana ntafika Jeddah kwa mgongo wa kijiwe...... raha iliyojeee wacha nile utamu 🙂🙂🙂
 
Kasieeee daaah_.....!!!! Hongera Mkuu,.ila kuna baadhi ya maneno cjayaelewa vzr ktk huu Uzi wako ila nahic kutokana na furaha uliyonayo,.anyway

Enjoy Life.[emoji6]
Asante eeh
Hahahahaa kweli nilikuwa na furaha na raha pia....
Nimesharekebisha.
Kiukweli nayafurahia maisha kwa upya
 
Hahaaa
Mbona mwepesi kusahau na mgumu kuelewa mamii.... James atarudi kipindi cha pasaka ila......
Kwa kijiwe kipya hiki ntaweza kuonana nae kabla ya pasaka maana ntafika Jeddah kwa mgongo wa kijiwe...... raha iliyojeee wacha nile utamu 🙂🙂🙂
Nakutamania[emoji4]

Huitaji mtu wa kukusadia mabegi hata?
 
Huko Joberg wamejaa wahuni tu hasa Hilbrow , njoo huku cape town ule good time!!!
Bado nna kamba mguuni best na akili yangu imejaa hofu za kuwa south africa wengi ni drug dealers usimuamini ambaye humfahamu. Pia wizi ujambazi, unyang'anyi na utapeli umejaa hasa nyakati za usiku. Kamba ikikatika mguuni ntaku PM.
Asante pia kwa mualiko.
 
karibu alexandria au Hilbrow tukuonyeshe South ya ukweli...hapo stainton hakuna ishu
Asante best, nikipata off ntaku PM unioneshe mema ya nchi ya kusini. Kwa jinsi nilivo njuka hapa Joberg naona bonge ya mahali japo hapapafikii Dubai na Marekani
 
Kasie, hongera bhana ila ulituacha njia panda na yule mjeda au na yeye ndo alikuwa kwenye plan ya masadist!!!!!!
Hapana labda ulipitwa ni kuwa James alirudi Jeddah na ameahidi kurudi kipindi cha pasaka. Na kwa kijiwe changu kipya hiki ntamuibukia hukohuko kabla ya pasaka. Yeye si sadist bali ni mahalat mtamujeee
Nampenda sana James Jeddah ....... Wacha niishie hapa.
 
Ohooo....we Kasie utafanya watu wadhani mimi niko nawe huko bondeni.....
Hahahaa wee nawee aka bingwa wa kudhani hehehehhe
How about Cape Town Fish ...........
Joberg is more sweeter to me.......
Ukikaa bondeni na Kasie lazima mzigo uingie hehehehee sipati picha ntavokuwa natembea migulu baja hehehe
Filthy ho babuu Ngabuuu 😉🙂🙂🙂
 
Nakutamania[emoji4]

Huitaji mtu wa kukusadia mabegi hata?
Hahahaaa hii kazi hadi ugongewe visa sio visa ya kuja south noop kibali cha kuzunguka mahali pengi bila kizuizi baada ya kula kiapo cha kutokutoroka au kuzamia nchi yoyote au kuukana uraia...... nahofia kama utaswihi kuhimili masharti......
La kwa jinsi kijiwe kilivyo nimeambiwa niwe nasafiri na pochi tuu yenye vitu muhimu ikiwemo pass ya kusafiria. Mabegi nguo nakutana nayo mahali ntakapokuwa nimeenda kikazi yaani nanunua. Ila makao makuu ni south
 
Back
Top Bottom