Mungu si Athumani Kasie ameinuka tena.......

Mungu si Athumani Kasie ameinuka tena.......

Hahahaaa hii kazi hadi ugongewe visa sio visa ya kuja south noop kibali cha kuzunguka mahali pengi bila kizuizi baada ya kula kiapo cha kutokutoroka au kuzamia nchi yoyote au kuukana uraia...... nahofia kama utaswihi kuhimili masharti......
La kwa jinsi kijiwe kihivyo nimeambiwa niwe nasafiri na pochi tuu yenye vitu muhimu ikiwemo past ya kusafiria. Mabegi nguo nakutana nayo mahali ntakapokuwa nimeenda kikazi yaani nanunua. Ila makaa makuu ni south
Ah sasa si niwe ata mbeba pochi wako tu[emoji17]
 
Ah sasa si niwe ata mbeba pochi wako tu[emoji17]
Hahahahaa usijali one day yes.... Tatizo mtoa vibali sio mie ila wakikuleta kama mbeba pochi zangu poa tuu utakula shushu sana Kasie peace mnoo.
Nikikuchukua kinyemela likitokea la kutokea ntawajibika.......
 
Hahahahaa usijali one day yes.... Tatizo mtoa vibali sio mie ila wakikuleta kama mbeba pochi zangu poa tuu utakula shushu sana Kasie peace mnoo.
Nikikuchukua kinyemela likitokea la kutokea ntawajibika.......
Ha haa basi poa Kasie...

Wacha nijibembeleze sasa nilale
 
Hapana labda ulipitwa ni kuwa James alirudi Jeddah na ameahidi kurudi kipindi cha pasaka. Na kwa kijiwe changu kipya hiki ntamuibukia hukohuko kabla ya pasaka. Yeye si sadist bali ni mahalat mtamujeee
Nampenda sana James Jeddah ....... Wacha niishie hapa.
Mmmmh, Sawa mamy hongera mno
 
Back
Top Bottom