Mungu nisaidie, uongo unanitesa na kunigharimu

Mungu nisaidie, uongo unanitesa na kunigharimu

labda uhame hili jiji la foleni bila uongo utakuwa huli
 
Bujibuji at his best ! Naona unakaribia kuokoka 'kalumbu'...Mungu akusaidie uache uongo, hongera sana!
 
Last edited by a moderator:
Lazima niuache haunisaidii

Kaka si kila uongo ni mbaya. Kuna aina mbili za uongo. White lie and black lie.

Black lie ni uongo wenye madhara kwa anae danganywa na anae danganya or one of them. White lie ni uongo usio na madhara kwa pande zote. White lie haiepukiki.

Both white and black lies has two faces, visible and invisible.
Mtu anaweza kukudanganya kitu na ukajua kabisa, lakini ukaona its ok kwasababu it wont effect or change a thing.

Both white and black lie has two sides, direct and indirect.
 
hiyo ndo raha ya jf kuna watu nikiona ID zao full kicheko baada ya mods kufanya yao jamaa kwenye tano bora ya jf matukio ya kicheko kuunganishwa ID Yupo

Mmh umepotea sana! Hakuna siku niliyo cheka kama siku ya giresi..hakika mods sio wa kuchezea wakikuchoka lazima ujute kuifahamu jf..daa jamaa alitamani kufuta uzi lakini wapi aliishia ku edit tuu...
 
Du..... kwa hiyo ndio kusemaje? Unanishauri nini?
Kaka si kila uongo ni mbaya. Kuna aina mbili za uongo. White lie and black lie.

Black lie ni uongo wenye madhara kwa anae danganywa na anae danganya or one of them. White lie ni uongo usio na madhara kwa pande zote. White lie haiepukiki.

Both white and black lies has two faces, visible and invisible.
Mtu anaweza kukudanganya kitu na ukajua kabisa, lakini ukaona its ok kwasababu it wont effect or change a thing.

Both white and black lie has two sides, direct and indirect.
 
Kuna mchangia Uzi muongo kuliko mtoa mada
 
Mkuu hongera kwa kujua mapungufu yako na kutubu,hakika Mungu atakuongoza.
 
kwenye uongo kuna mawili ufanikiwe na jambo au upate majanga.
 
Huko zamani kwenye ukoo wako yaani mmoja wa mababu zako au baba yako kama alishatangalia alikuwa anadanganywa sana. Kwa hiyo wewe unakuja kubalance mambo. Heh heh ukitaka uache ufanye spiritual practice
 
Si utani ila ni kweli tupu.ndicho ninachomuomba Mungu anisaidie, snipe nguvu ya kukiongea hata Kilosa kichungu kiasi gani. Maandiko yanasema ukweli utatuweka guru.

Back to the topic;
Nimekuwa na hulka ya kuongea uwongo kama Watanzania wengi tulivyo.Juzi Nilikuwa natakiwa mahali SAA kumi na moja kamili alfajiri, nikaa bar hadi usiku wa manane nikashindwa kuamka mapema.

Ilipofika SAA 11 na nusu nkaanza kupigiwa simu, pombe ilikuwa nyingi kichwani kiasi kwamba sikuweza kusikia miito ya zile simu hadi niliposhtuliwa na wife.

Nikaamka mbiombio na kukimbilia Kwenye Gari, nikawadanga waliokuwa wakinipigia Kuwa ninakaribia eneo LA miadi. Speed ilikuwa Kali na utulivu ulikuwa mkubwa barabarani.

Mbele kuna maungio ya Barbara, ghafla Gari iliyokuwa ikitoka Kwenye barabara ndogo ikaingia kwa kazi main road, tukagonganga, UKAWA ni mwisho wa hadithi.

Laiti ningesema ukweli kuwa ndio naamka wale niliokuwa nawawahi wangefanya maarifa mengine na wangeendelea na shughuli na kuniacha nije taratibu.

Kisa cha Pili.

Wife alikuwa anafanya kazi Masaki na tulikuwa tukiishi Kijitonyama. Tulikuwa na Gari moja mbali tulikuwa tukilitumia wote wawili.

Siku hiyo niliondoka na Gari muda wa SAA kumi wife akaamza kunipigia ili nimfuate. Nilikuwa mbali sana nikawa nadanganya kuwa nakaribia kufika.

Wife akasubiri akachoka, akaanza kutembea kwa miguu. Alikuwa amebeba handbag ghafla nyuma ikatokea Gari, vijana wakashika handbag, wakamburuza wife kwa zaidi ya umbali wa mita Mia, akajeruhiwa vibaya, akapoteza Pesa na Baraka muhimu.

Nisingedanganya yasingemkuta. Mungu Naomba usafishe kinywa changu kijue kuongea ukweli ili niwe huru, nisipatwe na mabalaa na mikosi.

Amen

uache ulofa na upu... ndugu yangu Bujibuji
 
Last edited by a moderator:
utakuwa gamba sisi m kwann .unasema UKAWA mwisho wa hadithi .tena neno kubwa UKAWA kwa herufi kubwa .acha ujinga ww kijana tutakunyonya mavi
 
Back
Top Bottom