Kinachonichekeshaga zaidi ni jinsi yeye anavoipotezea kabisa hiyo story hajawahi kuigusia hata kidogo pamoja na kuandamwa sana lolNimejikuta nacheka sana.
Watu mna kumbukumbu.
Uongo imekuwa jadi ya watz wengi. Hadi tunakera kwa kweli. Hata kwenye mahusiano watu ni waongo sana tu.
Uongo imekuwa jadi ya watz wengi. Hadi tunakera kwa kweli. Hata kwenye mahusiano watu ni waongo sana tu.
Kinachonichekeshaga zaidi ni jinsi yeye anavoipotezea kabisa hiyo story hajawahi kuigusia hata kidogo pamoja na kuandamwa sana lol
Huyu jamaaa ni muongo mpaka confection yake pia ni uongo.
Kweli dhambi ya uongo iko damuni.
Na pombe uache.
mmmmmh! halafu??????
Habari yako jirani...
Mambo yamekuwa mengi siku hizi kipenzi ila wakumbukwa sana nami...
Bujibuji ni mtu wa masikhara ila thread yake ya leo nimesoma ujumbe tu na hayo maelezo mengine nimeyaacha...