Hahahaaa!
Labda huyo dada kuna alilokosea huwezi jua kuishi wawili mliokutana ukubwani yataka moyo
Na hapo hawezi kuondoka utasikia "nitaishije"
Sina hakika ila atakuwa bado yuko mlimani japo kuwa huwa anashuka mida ya jioni.
Kwa kunisingizia,mwenzio nina wokovu kama wa babu asprin
Katika vitu ambavyo navizingatia katika maisha,
Hata nikigombana na MTU, pale tutakapotoka kwenda sehemu yoyote.nipo tayari kuficha hasira zote mbele za watu, na utashangaa ntakavyokuongelesha utadhani Hamna kilichotokea,
Hata uniudhi vipi. Ntavulimia tu mbele za watu kwa kuwa nawe sawa.kuna watu hawawezi ficha hisia zao mbele za watu. Pole yake mdada
Haiwezekani, ni ama uvumilie wewe au yeye ndoa ni uvumilivu lazima mmoja avumilieHuwa nawaza sana kuusu ndoa yangu apo baada nataman sana tuje kua na furaha mda wote na mke wangu, na naamini itakua ivyo tu