Ni kweli Mungu anaishi mbinguni sababu yeye mwenyewe anaogopa viumbe alivyoumba?
Unaweza ukute ni kweli kama binadamu kitu ambacho walimfanya yesu haji kusahau maisha yake yote
Msipotoke....msipotoshe.. Kuna vitu Vina laana isiyofutika... Msidhalilishe imani inayotumainiwa na mamilioni, imani ambayo kwa uwepo wake ndio imewafanya nyie kuja na upuuzi kama huu
Chezea Pengine, Mungu Hadhihakiwi.
Enzi hizo Mungu alikuwa akimtembelea Adam na kuzungumza naye ana kwa ana, lakini not anymore. Pengine ni kama kulea mbwa na awe mkali hata wewe mwenyewe uwe unamwogopa!
mshana jr pengine wanahoja ila wameiingiza vibaya..
Swali la msingi Mungu yuko wapi pamoja na kumuumba mwanadamu kWa mfano wake Ila amemwacha anatanga tanga,anakufa kwa dhiki,magonjwa,vita na ana angamia kwa kukosa maalifa.
Kwa nn anaruhusu kiumbe wake (mwanadamu) ateswe na nguvu za giza,mapepo na tamaa!,kwa nn ameruhusu shetani awepo anapotosha watu.
Je Mungu anaweza tengeneza Mtu kamili asiye na mawaa????!
Samahani mwalimu wangu Kama nimetopoka,ila nifunze zaidi
Ni kweli Mungu anaishi mbinguni sababu yeye mwenyewe anaogopa viumbe alivyoumba?