Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,992
- 146,308
Kama Mungu yupo, ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, kwa nini aumbe ulimwengu ambao tetemeko la ardhi linawezekana na linaua mpaka watoto wasio na hatia wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao matetemeko ya ardhi hayawezekani?Mnamo tarehe 1 mwezi huu wa tisa kulitokea kupakatwa kwa jua, watalaam wa mambo ya kidunia walitabiri hili swala na kujionyesha wajuaji zaidi walitabiri mpk muda na sehemu pia,
lakini nimeshindwa kuelewa hawa wanaojiita wanasayansi mbona hawakutuambia kuhusu tetemeko la ardhi kwamba litatokea lini na wapi na muda pia?
nadhani sasa ni wakati wao kuamini MUNGU yupo.
Unaweza kunijibu swali hili?