epigenetics
JF-Expert Member
- May 25, 2008
- 269
- 83
Mnamo tarehe 1 mwezi huu wa tisa kulitokea kupakatwa kwa jua, watalaam wa mambo ya kidunia walitabiri hili swala na kujionyesha wajuaji zaidi walitabiri mpk muda na sehemu pia,
lakini nimeshindwa kuelewa hawa wanaojiita wanasayansi mbona hawakutuambia kuhusu tetemeko la ardhi kwamba litatokea lini na wapi na muda pia?
nadhani sasa ni wakati wao kuamini MUNGU yupo.
Teknolojia hiyo ipo, ila sidhani kama mamlaka za geology Tanzania wanayo, au hawapokei taarifa kutoka US au EU kuhusu matetemeko kwa kuwa ni adimu Tanzania.
Soma zaidi hapa:
Earthquake warning system - Wikipedia, the free encyclopedia