Mungu (Jehovah) hapendelei taifa la Israel

Mungu (Jehovah) hapendelei taifa la Israel

Umeshindwa kuonesha wapi umebaki kugeza tu.

You are full of bullshit kwa sababu unasema mambo ambayo huwezi kuthibitisha, kama uwepo wa Jehovah.
Nikuonyeshe ili iweje Jehova yupo na ninamwamini sihitaji kuprove kwako wewe kama nani, ishi maisha uliyoyachagua
 
Kwanza kabisa, thibitisha Mungu yupo kweli na si hadithi za watu tu.
Unataka udhibitisho gani. Wewe mwenyewe kuishi ni udhibitisho tosha. Angalia anga na nyota zake. Yote hayo ni udhibitisho tosha kwamba Mungu yupo. Mifumo yote ya mwili wako tangu yai kutungwa kwa mama mpaka sasa unaishi huwezi kuona maajabu ya Mungu.

Zaburi 53:1​

Mpumbavu husema moyoni, Hakuna Mungu; Ni wafisadi, na wametenda mambo ya kuchukiza, Hakuna atendaye mema.
 
Nikuonyeshe ili iweje Jehova yupo na ninamwamini sihitaji kuprove kwako wewe kama nani, ishi maisha uliyoyachagua
Kuamini unaruhusiwa kuamini chochote unachotaka. Mradi usivunje sheria.

Na mtu akikusumbua kuhusu unachoamini mwenyewe, mimi nitakutetea, kwa kuwa naelewa una haki ya kikatiba ya kuamini unachotaka, haki hii inatambuliwa kama sehemu si tu ya katiba ya nchi, bali pia ya "Universal Declaration of Human Rights" tangu December 10 1948.

Lakini, ukija JF na kuongelea imani yako kama fact, umejivua kinga ya kuachwa kwenye imani, umeingia katika mijadala ya kisayansi, kisiasa na kifalsafa.

Na hapo ndipo utakapohojiwa.

Umesema Yehova? Unaweza kuthibitisha huyo Yehova yupo kweli au unalisha watu matango pori tu?

Kama unataka kuamini baki na imani yako kwako nyumbani au kanisani.

Ukianza kuhubiri dini yako hapa JF unaalika maswali na kuombwa uthibitisho ni jambo sahihi.
 
Kuamini unaruhusiwa kuamini chochote unachotaka. Mradi usivunje sheria.

Na mtu akikusumbua kuhusu unachoamini mwenyewe, mimi nitakutetea, kwa kuwa naelewa una haki ya kikatiba ya kuamini unachotaka, haki hii inatambuliwa kama sehemu si tu ya katiba ya nchi, bali pia ya "Universal Declaration of Human Rights" tangu December 10 1948.

Lakini, ukija JF na kuongelea imani yako kama fact, umejivua kinga ya kuachwa kwenye imani, umeingia katika mijadala ya kisayansi, kisiasa na kifalsafa.

Na hapo ndipo utakapohojiwa.

Umesema Yehova? Unaweza kuthibitisha huyo Yehova yupo kweli au unalisha watu matango pori tu?

Kama unataka kuamini baki na imani yako kwako nyumbani au kanisani.

Ukianza kuhubiri dini yako hapa JF unaalika maswali na kuombwa uthibitisho ni jambo sahihi.
Sio lazima nijibu maswali hakuna kipengele kinachosema mtu akileta habari jf lazima athibitishe ni hiari ya mtu, acha upotoshaji
 
Unataka udhibitisho gani. Wewe mwenyewe kuishi ni udhibitisho tosha. Angalia anga na nyota zake. Yote hayo ni udhibitisho tosha kwamba Mungu yupo. Mifumo yote ya mwili wako tangu yai kutungwa kwa mama mpaka sasa unaishi huwezi kuona maajabu ya Mungu.

Zaburi 53:1​

Mpumbavu husema moyoni, Hakuna Mungu; Ni wafisadi, na wametenda mambo ya kuchukiza, Hakuna atendaye mema.
Msingi wa kumuamini Mungu ni Imani, kama huna Imani ya Mungu mintakithibitishiaje, hata Yesu alitumia miujiza kila kitu lakin hakumwamini na ipo kwenye dini zote

Alafu jamaa anajiona anaakili kumbe ni mjinga wa mwisho, ndo maana nikamwambia kama hamuamini Mungu asitake kusumbua watu wamthibitishie, wale wenye Iman ndo watathibishiwa sababu wako tayari kujifunza
 
Tatizo la Watanzania tunapenda kujadili vitu tusivyovijua. Sasa hizo hadithi za kutunga tulizoletewa na wazungu tunaanza kuhusisha na real world events.

Tujipambanue.
Mkuu huu ni ugonjwa. Alieleta mafundisho ya dini afrika ndo aliesababisha yote haya kwa mwafrika. Watu wana reason on religion bases badala ya kutumia logic
 
Sio lazima nijibu maswali hakuna kipengele kinachosema mtu akileta habari jf lazima athibitishe ni hiari ya mtu, acha upotoshaji
Upotoshaji ni kuleta habari ambazo huwezi kuthibitisha, halafu ukiulizwa uthibitisho unakimbia.

Katika saikolojia kuna kitu kinaitwa projection.

Hii ni tabia ya kumpa mtu mwingine tabia yako mbaya.

Kwa mfano, mwizi kuita wengine wezi, hiyo ni projection. Anachukua tabia yake, anai project kwa wengine.

Hapa ndicho ulichofanya.

Psychological projection.

Wewe ni mpotoshaji.

Halafu umeniita mimi mpotoshaji kwa psychological projection.
 
Upotoshaji ni kuleta habari ambazo huwezi kuthibitisha, halafu ukiulizwa uthibitisho unakimbia.

Katika saikolojia kuna kitu kinaitwa projection.

Hii ni tabia ya kumpa mtu mwingine tabia yako mbaya.

Kwa mfano, mwizi kuita wengine wezi, hiyo ni projection. Anachukua tabia yake, anai project kwa wengine.

Hapa ndicho ulichofanya.

Psychological projection.

Wewe ni mpotoshaji.

Halafu umeniita mimi mpotoshaji kwa psychological projection.
Ndio ni upotoshaji achana nayo kwani ni lazima kila habari uthibitishiwe, au umeshikiwa fimbo uisome au kaireport kwa mod ifutwe we jamaa mshamba kweli
 
Ndio ni upotoshaji achana nayo kwani ni lazima kila habari uthibitishiwe, au umeshikiwa fimbo uisome au kaireport kwa mod ifutwe we jamaa mshamba kweli
Ushamba ni kujamba ushuzi mchafu halafu watu wakikuambia umejamba umechafua hewa, unawalaumu hao watu kwa kuwa pua zao zimeingilia uhuru wa matako yako kujamba.

Ndicho unachofanya hapa.
 
Ushamba ni kujamba ushuzi mchafu halafu watu wakikuambia umejamba umechafua hewa, unawalaumu hao watu kwa kuwa pua zao zimeingilia uhuru wa matako yako kujamba.

Ndicho unachofanya hapa.
Jamii forum watu hawajambi Bali wanapost habari ni platform ya watu kupost vitu walivyo navyo
 
Jamii forum watu hawajambi Bali wanapost habari ni platform ya watu kupost vitu walivyo navyo
Post nyingine kama zako ni ushuzi tu.

Unatujambia, tukikuambia hapa umejamba, unatulaumu kwa nini tumekuondolea amani kwa kukueleza ukweli kwamba umejamba.
 
Back
Top Bottom