Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,970
- 146,262
Sema tu huwezi kuthibitisha fake news.Jamii forum sio jukwaa la kuthibitisha Bali la kupashana habari alafu jifunze kuandika
Sema tu huwezi kuthibitisha fake news.Jamii forum sio jukwaa la kuthibitisha Bali la kupashana habari alafu jifunze kuandika
Ndio ni fake news umesharizikaSema tu huwezi kuthibitisha fake news.
Neno sahihi ni "umesharidhika" si "umesharizika".Ndio ni fake news umesharizika
Alafu unapotezaje mda kwenye fake news, mim kamwe habari nikishahisi ni fake news naachana nayo kwanin nijichosheNeno sahihi ni "umesharidhika" si "umesharizika".
Wewe ukiambiwa kula mavi ni dawa ya tumbo utakubali kula kwa sababu ni uongo?Alafu unapotezaje mda kwenye fake news, mim kamwe habari nikishahisi ni fake news naachana nayo kwanin nijichoshe
Usipende kungangana na mambo zikiwemo habari ambazoo unaona hazina msaada kwako zikiwemo fake news
Hakuna sehemu yeyote jamiiforum watu wanashikiwa fimbo wanaambiwa wale mavi, ukila mavi ni kwa Ujinga wakoWewe ukiambiwa kula mavi ni dawa ya tumbo utakubali kula kwa sababu ni uongo?
Ukikuta mtu anawaambia wengine wale mavi ni dawa ya tumbo, utafurahia uongo huo?
Uongo ukiachiwa utandae hauna madhara?
Wewe guluguja hata nikikupa mfano huuelewi.Hakuna sehemu yeyote jamiiforum watu wanashikiwa fimbo wanaambiwa wale mavi, ukila mavi ni kwa Ujinga wako
Utapotezaje mda kwenye Uzi wa mtu unayemuita guluguja hivi una utimamu wa akili kweliWewe guluguja hata nikikupa mfano huuelewi.
Hizo habari zako za kuhubiri kuwapo kwa Mungu ambaye huwezi kuthibitisha yupo ni sawa na kuambia watu wale mavi kama dawa ya tumbo.
Zote ni fake news.
Hii kitu kuna mda inanichanganya sana. Mpaka najiuliza kama Bible inadanganya ama inakuwaje.Wale wanaoshoboka View attachment 1789667
Maana ya kiranga ni ipi labda tuanzie hapoNyuzi kama hizi akishavamia kiranga ndo basi tena![]()

Umeharibika kweliHuu uzi ushaharibika tayari.
Jamaa ana upeo mdogo sana wa mambo analazimisha watu waprove utafikiri yeye kila analoongea anaweza kuproveHuu uzi ushaharibika tayari.
Nimeelezea mbona walimkataa YESU ndo maana walipewa adhabu ya kukaa ulaya miaka 1800 kwa ubaguzi mkaliHii kitu kuna mda inanichanganya sana. Mpaka najiuliza kama Bible inadanganya ama inakuwaje.
Mpagani ni mtu anayeamini Mungu tofauti na Mungu aliyekubalika na watu wa Magharibi pamoja na dini kubwa za dunia.
Anaitwa mpagani kwa sababu anasemwa anaamini Mungu wa uongo.
Kuniita mimi mtu ambaye sikubali uwepo wa Mungu kuwa ni mpagani ni sawa na kusema mtu aliyenyoa kipara amesuka nywele mtindo mbaya.
Hujathibitisha Mungu yupo.
Unanipangia jinsi ya kuchangia katika jukwaa la JF linalojinadi kwa kaulimbiu ya "Where We Dare To Talk Openly" ?Wee bana anzisha uzi wako ili tuje tuchangie.
Unanipangia jinsi ya kuchangia katika jukwaa la JF linalojinadi kwa kaulimbiu ya "Where We Dare To Talk Openly" ?
Kwanini hoja yangu ya kuhoji uwepo wa Jehovah haihusiki kwenye uzi huu, wakati uzi huu unamuongelea Jehovah hata kwenye heading yake?
Sasa usinipangie jinsi ya kuandaa uziUnanipangia jinsi ya kuchangia katika jukwaa la JF linalojinadi kwa kaulimbiu ya "Where We Dare To Talk Openly" ?
Kwanini hoja yangu ya kuhoji uwepo wa Jehovah haihusiki kwenye uzi huu, wakati uzi huu unamuongelea Jehovah hata kwenye heading yake?