Mungu (Jehovah) hapendelei taifa la Israel

Mungu (Jehovah) hapendelei taifa la Israel

Artifact Collector

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
6,622
Reaction score
10,247
1621344143416.png

Israel ni taifa teule Spiritual kwa wakristo nikimaanisha mambo mengi ya kiroho alipitisha kupitia wao, wana baraka nyingi na adhabu pia kwa hiyo sio kweli kwamba Mungu anawapendelea Leo naelezea adhabu walizozipitia

Wakati ndugu zake yusuphu wanamuuza misri ilikua ni moja ya uovu walioufanya ndugu zake kwa kuamisha lango lao la baraka na kulipeleka misri, miaka 400+ kukaa misri ilikua ni adhabu na akikukua kipindi kizuri hata kidogo

Walivyokua jangwani walimuuzi Mungu Tena wakapewa adhabu ya kuzunguka miaka 40 kwa safari ambayo haizid hata wiki mbili kwa miguu kwa hiyo miaka 40 jangwani ni adhabu

Kupelekwa Ulaya hii ndo moja ya adhabu kubwa kuliko zote, baada ya kumkataa YESU Wana wa Israel walipewa adhabu nyingine ya kupelekwa ulaya na walikaa almost miaka 1800 Ila waliahidiwa watarudishwa ndo Uhuru tunao uona waliopewa 1948

Hizi ni baadhi ya adhabu waliopewa ila ziko nyingi sana
 
Tatizo la Watanzania tunapenda kujadili vitu tusivyovijua. Sasa hizo hadithi za kutunga tulizoletewa na wazungu tunaanza kuhusisha na real world events.

Tujipambanue.
 
Israel ni taifa teule Spiritual kwa wakristo nikimaanisha mambo mengi ya kiroho alipitisha kupitia wao, wana baraka nyingi na adhabu pia kwa hiyo sio kweli kwamba Mungu anawapendelea Leo naelezea adhabu walizozipitia

Wakati ndugu zake yusuphu wanamuuza misri ilikua ni moja ya uovu walioufanya ndugu zake kwa kuamisha lango lao la baraka na kulipeleka misri, miaka 400+ kukaa misri ilikua ni adhabu na akikukua kipindi kizuri hata kidogo

Walivyokua jangwani walimuuzi Mungu Tena wakapewa adhabu ya kuzunguka miaka 40 kwa safari ambayo haizid hata wiki mbili kwa miguu kwa hiyo miaka 40 jangwani ni adhabu

Kupelekwa ulaya hii ndo moja ya adhabu kubwa kuliko zote, baada ya kumkataa YESU Wana wa Israel walipewa adhabu nyingine ya kupelekwa ulaya na walikaa almost miaka 1800 Ila waliahidiwa watarudishwa ndo Uhuru tunao uona waliopewa 1948

Hizi ni baadhi ya adhabu waliopewa ila ziko nyingi sana
Kwanza kabisa, thibitisha Mungu yupo kweli na si hadithi za watu tu.
 
Kwanza kabisa, thibitisha Mungu yupo kweli na si hadithi za watu tu.
Kwanza kabisa, thibitisha Mungu yupo kweli na si hadithi za watu tu.
Kwanza kabisa, thibitisha Mungu yupo kweli na si hadithi za watu tu.
Hawezi kurudi hapa huyo
Kwa wapagani huu uzi hauwahusu kama unaamini Mungu hayupo ni vizuri sababu unao huo huru na maisha uliyoyachagua, lakin nikutoe hofu Sina mda wa kupoteza wa kuprove kwako Mungu yupo au la sababu itakua ni kuchoshana
 
Kwa wapagani huu uzi hauwahusu kama unaamini Mungu hayupo ni vizuri sababu unao huo huru na maisha uliyoyachagua, lakin nikutoe hofu Sina mda wa kupoteza wa kuprove kwako Mungu yupo au la sababu itakua ni kuchoshana
Mpagani ni mtu anayeamini Mungu tofauti na Mungu aliyekubalika na watu wa Magharibi pamoja na dini kubwa za dunia.

Anaitwa mpagani kwa sababu anasemwa anaamini Mungu wa uongo.

Kuniita mimi mtu ambaye sikubali uwepo wa Mungu kuwa ni mpagani ni sawa na kusema mtu aliyenyoa kipara amesuka nywele mtindo mbaya.

Hujathibitisha Mungu yupo.
 
Mpagani ni mtu anayeamini Mungu tofauti na Mungu aliyekubalika na watu wa Magharibi pamoja na dini kubwa za dunia.

Anaitwa mpagani kwa sababu anasemwa anaamini Mungu wa uongo.

Kuniita mimi mtu ambaye sikubali uwepo wa Mungu kuwa ni mpagani ni sawa na kusema mtu aliyenyoa kipara amesuka nywele mtindo mbaya.

Hujathibitisha Mungu yupo.
Sina mda wa kuthibitisha kwako kama Mungu yupo alafu iweje yaani
 

Israel ni taifa teule Spiritual kwa wakristo nikimaanisha mambo mengi ya kiroho alipitisha kupitia wao, wana baraka nyingi na adhabu pia kwa hiyo sio kweli kwamba Mungu anawapendelea Leo naelezea adhabu walizozipitia

Wakati ndugu zake yusuphu wanamuuza misri ilikua ni moja ya uovu walioufanya ndugu zake kwa kuamisha lango lao la baraka na kulipeleka misri, miaka 400+ kukaa misri ilikua ni adhabu na akikukua kipindi kizuri hata kidogo

Walivyokua jangwani walimuuzi Mungu Tena wakapewa adhabu ya kuzunguka miaka 40 kwa safari ambayo haizid hata wiki mbili kwa miguu kwa hiyo miaka 40 jangwani ni adhabu

Kupelekwa Ulaya hii ndo moja ya adhabu kubwa kuliko zote, baada ya kumkataa YESU Wana wa Israel walipewa adhabu nyingine ya kupelekwa ulaya na walikaa almost miaka 1800 Ila waliahidiwa watarudishwa ndo Uhuru tunao uona waliopewa 1948

Hizi ni baadhi ya adhabu waliopewa ila ziko nyingi sana
Tuendelee kuongopeana
 
Hata ukiniambia siwez kuthibitisha unanipunguzia nin kwa mfano, na hata nikikuthibitishia unaniongezea nin hamna
Unajiita Science Priest halafu hujui umuhimu wa uthibitisho?

Hebu ondoa hiyo "Science" kwenye jina lako kwanza kabla hatujaendelea zaidi.
 
Unajiita Science Priest halafu hujui umuhimu wa uthibitisho?

Hebu ondoa hiyo "Science" kwenye jina lako kwanza kabla hatujaendelea zaidi.
Kwenye maisha kila mtu ana Uhuru, mbona unataka kupangia watu jinsi ya kuishi report jamii forum wanibadilishe jina kama unavyotaka
 
Kwenye maisha kila mtu ana Uhuru, mbona unataka kupangia watu jinsi ya kuishi report jamii forum wanibadilishe jina kama unavyotaka
Sijataka kukupangia.

Kwani mimi ndiye nimekuchagulia jina la kujinasibu na Science?

Sasa ukijinasibu na Science halafu ukaombwa uthibitisho, kitu qmbacho ni cha msingi katika Science, halafu ukadharqu uthibitisho, ukiitwa tapeli hapo mtu kakupangia maisha?

Yani ushuzi mchafu ujambe wewe, halafu watu wakisema huu ushuzi unanuka umejamba unataka kuwakaripia watu wasikupangie maisha?
 
Sijatqka kukupqngia.

Kwani mimi ndiye nimekuchagulia jina la kujinasibu na Science?

Sasa ukijinasibu na Science halafu ukaombwa uthibitisho, kitu qmbacho ni cha msingi katika Science, halafu ukadharqu uthibitisho, ukiitwa tapeli hapo mtu kakupangia maisha?

Yani ushuzi mchafu ujambe wewe, halafu watu wakisema huu ushuzi unanuka umejamba unataka kuwakaripia watu wasikupangie maisha?
Jamii forum sio jukwaa la kuthibitisha Bali la kupashana habari alafu jifunze kuandika
 
Sio mkorofi ni mjinga na mpumbavu at the same time, kama kila Uzi anataka mtu aprove huoni kama ni Ujinga huo
Wewe umejinasibu na Science wakati huthamini umuhimu wa uthibitisho hata kwenye upumbavu hujafika.

Wewe ni kama nyungunyungu asiye na ubongo wala uti wa mgongo.

Hata kwenye upumbavu hujafika bado, nikikuita mpumbavu nitakuwa nakupaza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom