Yusufu aliinuliwa kuwakomboa familia ya Yakobo na janga la njaa.
Musa aliinuliwa kuwakomboa wana wa Israel kutoka ufalme wa Farao
Daudi aliinuliwa kumwangusha Mfalme Sauli
Daniel aliinuliwa kumwangusha Mfalme Nebukadreza
Mandela aliinuliwa kuuangusha utawala wa kikaburu na kibaguzi wa Afrika kusini
Nyerere aliinuliwa kuuangusha utawala wa kikoloni Tanzania
Lissu ameinuliwa kuuangusha utawala wa CCM ya Magufuli Tanzania
Mungu huinua na kuangusha tawala na falme kwa nyakati zake na majira yafaayo.
Lissu kama ilivyokuwa kwa wapakwa mafuta wengi mfano Nabii Musa, Nabii Yusufu, Mtume Muhammad, Nabii Daniel, Mfalme Daudi, Bwana Yesu, Mandela nk, ametokea uhamishoni,mafichoni, kizuizini au gerezani kuja kukamilisha unabii.
Musa aliinuliwa kuwakomboa wana wa Israel kutoka ufalme wa Farao
Daudi aliinuliwa kumwangusha Mfalme Sauli
Daniel aliinuliwa kumwangusha Mfalme Nebukadreza
Mandela aliinuliwa kuuangusha utawala wa kikaburu na kibaguzi wa Afrika kusini
Nyerere aliinuliwa kuuangusha utawala wa kikoloni Tanzania
Lissu ameinuliwa kuuangusha utawala wa CCM ya Magufuli Tanzania
Mungu huinua na kuangusha tawala na falme kwa nyakati zake na majira yafaayo.
Lissu kama ilivyokuwa kwa wapakwa mafuta wengi mfano Nabii Musa, Nabii Yusufu, Mtume Muhammad, Nabii Daniel, Mfalme Daudi, Bwana Yesu, Mandela nk, ametokea uhamishoni,mafichoni, kizuizini au gerezani kuja kukamilisha unabii.