dormant accont
Senior Member
- Jan 4, 2022
- 154
- 162
Kitabu kuandikwa " Mungu akasema" au kikaandikwa "mimi Mungu nasema" ni maamuzi ya muandishi. Maamuzi ya muandishi si maamuzi ya miungu. Haitbibitishi kama vimetoka kwa miungu, hiyo ni style tu ya uandishi.
Ndio mjue kwamba Mmepotoshwa sana. Maana Hakuna Sehemu Mungu kaongea zaidi kitabu kinakuwa MUNGU AKASEMA.. MUNGU ALISEMA. Maana yake Hapa Mungu anasimuliwa
Kitabu akisema. MIMI MUNGU NASEMA. MIMI. MUNGU NAKUAMBIA HIVI.. MIMI MUNGU NATAKA UNIABUDU HVI
vyote vinamasimulizi ya kusimulia Mungu kama Hadithi