hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,405
- 73,316
Mapepo ni ugonjwa tu wakili,ukipelekwa mirembe unapona kabisa.Kwahiyo hata Yale Mapepo aliyokuwa anatoa Yesu si ya kweli. Vitabu vyote ni Uongo
wewe uliyesema juu kuna mbingu ndio ulete ushahidi .kila siku vyombo vya Nasa na makampuni mengine yanaenda huko anga za mbali ushasikia kuna chombo kimeona au kukuta mbingu.kuna galaxy zip mabilioni ya miaka ya mwanga s zingegonga mbingu.kwa kuwa umeshakuwa brainwashed tangu utoto wako lazima uamini ile anga ya blue ni mbinguUna uthibitisho gani kwa haya uyasemayo? Leta ushahidi au kaa kimya
haikuwepo ,ilitokea taratibu mabilioni ya miaka kwa kupitia hizo processKabla ya weathering process kutokea origin ya hiyo miamba ni nini?
Umejuaje mkuu kama Mungu ameumba viumbe? isije ikawa unamsingizia tuKila Kiumbe kilichoumbwa na Mungu kilipewa mahali pa kukaa na Uwezo wa akili. Kutokana viumbe kupenda Kutawala mfano mzuri ni Ukoo wa Majini (shetwani ), malaika, elians na wengine upotoshaji ndipo unapoanza
Na hata Binadamu sasa tunataka kwenda Sayari zingine. Hao viumbe wengine wao walishakuja duniani muda mrefu na wakatupotosha na kuleta Teknolojia zao huku(kumbuka kuna Mambo yapo Duniani wanasayansi hawana Majibu yametokea wapi na Yamejengwa na Nani)
Viumbe hawa ndio wameleta mpaka hzii dini za upotoshaji zilizopo leo hii ambazo ndizo zinakuambia Mungu anataka Hiki na Ukimnyima anakulaani
Ndio hawa hawa wanawatokea manabii walioandikwa kwenye vitabu wanamwambia wasome kwa jina la Mola wao. Ndio hawa hawa wanakuja kwa njia ya Moto kuwaka kwenye Kichaka na Kuwaambia wavue viatu ni sehemu takatifu
Sidhani kama kuna jamii ambayo haina neno Mungu kwahiyo suala la vitabu ni utofauti tu wa mafundisho ambayo huwa yanabadilika badilika, kwahiyo naweza kusema hata hao mababu zetu nao walikuwa na mafundisho ya Mungu ambayo walikuwa wakiyafuata kwa wakati uliyopo na mazingira yao ila Mungu ni huyohuyo tu.Babu zetu walio ishi na kufa kabla ya hivi vitabu havijaja,walimjua Mungu ?
Kwanini sasa haisemi kitu ni mabubu au vp?Shida inakuja miungu haujawahi sema chochote kile. Zaidi ya wakoloni kutuletea vitabu wakidai miungu inataka nini. Lakini miungu yenyewe haijawahi kusema kitu.
Unadhani Mungu huyo huyo leo angekuwa na Makundi haya Yaliyopo. Huku Waislamu.. Huku wakristo.. Huku Wa Hindi n.k n.kSidhani kama kuna jamii ambayo haina neno Mungu kwahiyo suala la vitabu ni utofauti tu wa mafundisho ambayo huwa yanabadilika badilika, kwahiyo naweza kusema hata hao mababu zetu nao walikuwa na mafundisho ya Mungu ambayo walikuwa wakiyafuata kwa wakati uliyopo na mazingira yao ila Mungu ni huyohuyo tu.
Kwanini sasa haisemi kitu ni mababu au vp?
Swali lako zuri.Kwanini sasa haisemi kitu ni mababu au vp?
Mungu anajulikana kwako kadri unavyoweza kumuelewa, hakuna maelezo ya kutosha ya kibinadamu yanayoweza kujitosheleza. Waache watu wamjue kadri anavyojifunua kwao.Kumekuwa na Dhana POTOFU na Dhana Hii imewaharibia sana Akili watu wa madhehebu. Unakutana na Mtu anakuambia, Mungu wangu yu Hai
Kitu kilicho hai ni kiumbe tu. Mwenye Enzi Mungu yupo nje kabisa na Vinavyoishi, yeye aliviumba Viwe vinaishi na akaviweka Katika Sayari mbalimbali vikae huko
Yeye hakai na Viumbe vyake wala Hasaidiani mambo yake na Viumbe vyake alivyoviumba.
Kwahiyo ni makosa makubwa kumfananisha Mwenye Enzi Mungu na Uhai wa Viumbe vyake na kusema Eti Yeye yu Hai, kumpatia Sifa za Viumbe (anakaa, anasema, anatuma malaika, anatamaa, ana wivu n.k n.k ni Makosa na Upotofu mkubwa sana unaoendelea huko Wanakoabudu
Mmeambukizwa Imani za Viumbe waovu na Wenye dhambi (Mashetani, Malaika, Wachawi n.k) Na mnapokuwa mnamwabudu Mungu huyo mnamfananisha na Nyie mlivyo. Mnampa Sifa za Nyie mlivyo(uhai, tamaa, wivu, Utakaji wa vitu). Mungu hana Sifa za Ubinadamu wala sifa za kiumbe chake chochote kile
ASANTENI
Suala la hizo dini linahitaji mjadala wake ila hapo mie nimejaribu tu kueleza kuwa si kwamba huyo Mungu wa kwenye vitabu hakujifunua kwenye jamii zengine tofauti na hizo jamii zilizomo kwenye hivyo vitabu. Ni vile hatujaelezwa ama tuseme historia zao hazikuandikwa kama zimevyoandikwa jamii za kwenye hivyo vitabu.Unadhani Mungu huyo huyo leo angekuwa na Makundi haya Yaliyopo. Huku Waislamu.. Huku wakristo.. Huku Wa Hindi n.k n.k
Huyo Mungu hapendi umoja na Muongozo mmoja
Nimekuuliza hivyo kwa sababu hata wewe unaposema miungu haisemi chochote inakuwa ni nadharia yako pia na ndio maana nikakuuliza kwani hiyo miungu ni mabubu? Maana mabubu wapo tunawaona ila hawawezi kusema.Swali lako zuri.
Kwanini haisemi kitu?
Haisemi chochote na haijioneshi kama ipo. Tutajuaje kama ipo sasa.
Ukweli ni kwamba, hakuna wa kuthibitisha chochote kile zaidi ya kila mtu kuja na nadharia zake au tu imani zake. Lakini miungu yenyewe haijawahi kusema chochote.
Nimekuuliza hivyo kwa sababu hata wewe unaposema miungu haisemi chochote inakuwa ni nadharia yako pia na ndio maana nikakuuliza kwani hiyo miungu ni mabubu? Maana mabubu wapo tunawaona ila hawawezi kusema.
Au ufafanue unaposema miungu haisemi chochote una maana gani?
Je hiyo miungu ipo au haipo?Miungu kutosema chochote wala sio nadharia. Ni jambo halisi lenye uthibitisho. Maana ya "miungu haisemi chochote" ni kwamba miungu haijawahi kutujulisha kama ipo na mtu akitaka kuijua haimuoneshi kama ipo. Wala haituongozi tufanye nini hapa duniani na haitupi sababu yoyote ya kuishi.
Je hiyo miungu ipo au haipo?
Sawa kabisa..Mungu ni zaidi ya uhai....Mtu anapotaja uhai maana yake kuna kifo..Mungu hayuko kabisa kwenye hizo level za uhai ma kifo....Mwanadamu kumuelewa Mungu ni nini...haiwezekani.....tinajitutumua tu..lkn Mungu ni juu sana ya hizi akili zetu....Mungu ni yupo, aliyekuwepo na atakayekuwepo....Mungu ndo kaumba huo uhai....Kumekuwa na Dhana POTOFU na Dhana Hii imewaharibia sana Akili watu wa madhehebu. Unakutana na Mtu anakuambia, Mungu wangu yu Hai
Kitu kilicho hai ni kiumbe tu. Mwenye Enzi Mungu yupo nje kabisa na Vinavyoishi, yeye aliviumba Viwe vinaishi na akaviweka Katika Sayari mbalimbali vikae huko
Yeye hakai na Viumbe vyake wala Hasaidiani mambo yake na Viumbe vyake alivyoviumba.
Kwahiyo ni makosa makubwa kumfananisha Mwenye Enzi Mungu na Uhai wa Viumbe vyake na kusema Eti Yeye yu Hai, kumpatia Sifa za Viumbe (anakaa, anasema, anatuma malaika, anatamaa, ana wivu n.k n.k ni Makosa na Upotofu mkubwa sana unaoendelea huko Wanakoabudu
Mmeambukizwa Imani za Viumbe waovu na Wenye dhambi (Mashetani, Malaika, Wachawi n.k) Na mnapokuwa mnamwabudu Mungu huyo mnamfananisha na Nyie mlivyo. Mnampa Sifa za Nyie mlivyo(uhai, tamaa, wivu, Utakaji wa vitu). Mungu hana Sifa za Ubinadamu wala sifa za kiumbe chake chochote kile
ASANTENI