FabNXTzqEtcgazfbjjfo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 1,578
- 2,125
DELETED
Wewe ni Binadamu una uhai ila Unatengeneza magari na Vitu visivyo na Uhai kama Wewe. Muujiza wa Mungu umetenda hayo Yote umeumbaKitu kisicho na uhai kinaweza kuumba viumbe vyenye uhai
Anayekufa ni KiumbeBasi tufanye AMEKUFA...thread closed.
Pole sana ndugu, maadam umeamua kuanza safari ya kumjua Mungu atakusaidia uendelee kumwelewa zaidi. Safari ndio umeianza lakini weka akili yako wazi kupokea michango ya wadau upate uelewa zaidi.
1. Mungu alimwumba mtu kwa mfano wake. (Udongo jumlisha pumzi ya Mungu).
2. Mungu aliumba mbingu na nchi na vyote viijazavyo.
Inawezekana vipi kisicho na uhai kiumbe vilivyo na uhai.
Mungu akasema......na ikawa. Kabla ya kusema nini kinatangulia. Ni kuwaza au mawazo. Kwahiyo mawazo (niite consciuosness kwa kizungu cha Uingereza) ndiyo kiini cha uhai. Leo wewe ukipoteza consciousness umekwisha.
Endelea kujifunza ndugu. Mungu yu hai na anaishi milele.
Si tumekubaliana kuna birika 72 ni mwendo wa mbususu tu😅. AuMungu ni nini/nani? Je nawezaje kuuhisi uwepo (presence) yake?
@mbususu zenye mijicho mijubwa kama bakuli, si ni majini hayo?Si tumekubaliana kuna birika 72 ni mwendo wa mbususu tu😅. Au
Mkuu umeniquote ila sijaelewa point yako ni nini hasa?Wewe ni Binadamu una uhai ila Unatengeneza magari na Vitu visivyo na Uhai kama Wewe. Muujiza wa Mungu umetenda hayo Yote umeumba
MALAIKA, MAJINI, MASHETANI, n.k nao wameumbwa kama Wewe na Hawaonekani na Hata Mchawi anakuja Kwako anachukua Vitu na Kukuwangia Ila Humuoni jiulize kwanza Hayo kabla Hujauliza muujiza wa Mungu umetendaje Haya Yote
Labda kama Huamini kama Huyo huyo aliyemuumba Malaika ndio kamuumba Jini na Wewe binadamu
Na pia Ujiulize kiliumbaje Mawe na Miamba Ambayo haina Uhai pia
😂😂😂 haya na mto wa wine@mbususu zenye mijicho mijubwa kama bakuli, si ni majini hayo?
Umeniuliza inakuwaje Mungu si hai akaumba Kitu kisicho hai. Nimekujibu kwa kukuambia Ameumba Vitu vingi Visivyo na Uhai pia na Vilivyo na UhaiMkuu umeniquote ila sijaelewa point yako ni nini hasa?
Endelea kuamini unachokiamini.Umeniuliza inakuwaje Mungu si hai akaumba Kitu kisicho hai. Nimekujibu kwa kukuambia Ameumba Vitu vingi Visivyo na Uhai pia na Vilivyo na Uhai
Mawe/Michanga/Dhahabu hayana uhai ila kayaumba. Kwa Mantiki yako ili jiwe liumbwe Mungu angetakiwa asiwe hai ili aliumbe hilo jiwe.
Unaposema Mungu yu Hai Maana Yake Umemuweka Kama Kiumbe ulivyo wewe wakati Hayupo hivyo. Vilivyo na Uhai na Kuumbwa Hufa