FabNXTzqEtcgazfbjjfo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 1,575
- 2,090
- Thread starter
- #81
Sasa nikikosa Baraka kutoka Kwake kwa Kutompa Sadaka yeye anafaidikaje kwa Mimi kukosa Hizo baraka. Yaani ananikosesha Baraka Ili yeye Apate Nini wakati ndio kaniumbaMungu alaani mtu kwa kutomtolea sadaka wala nini japo tu utakosa baraka kutoka kwake
Na Unaposema Mtu akikosa Baraka Maana Yake si Ndio Kama Amekulaani tu