fieldmashal
Member
- Nov 22, 2015
- 78
- 3
Mimi nataka kufa jamani nina miaka mitatu sasa nakosa boom, nahisi bora ningezaliwa nyani ulaya kuliko kuwa mtu Tanzania lnchi iliyojaa undugunization na rushwa hasa samaki wakubwa kama wafanyakazi wa HESLB mimi kama mwanafunzi ninayeendelea na masomo mwaka wa pili sasa na chuo wameshafungua(UDOM) ndugu zangu wanajukwaa ikumbukwe kuwa nilikuwa nasomesha na serikali toka kote nilikopita kwani me ni yatima na sina uwezo wa aina yoyote ile mwaka 2013 nilihitimu kidato cha sita na kufauru hivyo nikaaplay chuo mkopo nikakosa ikanilazim kuahirisha chuo mwaka uliofata nikaaplay tena nikapata chuo mkopo nikakosa tena education UDOM hivyo nilikuwa napiga tempo nikapata hela kidogo kwa ushauri nikaona nitazeheka nikaenda kuripoti chuoni nimeteseka sana ikafika sehemu nikaishiwa hadi chupi kwa maisha ya udom yalivyo magumu nimejikomba hadi mwaka ukaisha nimeomba mkopo tena jamani ndiyo hivo nashindwa nifanyeje jamani naomba ushauri wenu sina pakushika ndugu zangu na chuo ndiyo wanaendelea