Mungu awe nanyi vigogo wa HESLB

Mungu awe nanyi vigogo wa HESLB

fieldmashal

Member
Joined
Nov 22, 2015
Posts
78
Reaction score
3
Mimi nataka kufa jamani nina miaka mitatu sasa nakosa boom, nahisi bora ningezaliwa nyani ulaya kuliko kuwa mtu Tanzania lnchi iliyojaa undugunization na rushwa hasa samaki wakubwa kama wafanyakazi wa HESLB mimi kama mwanafunzi ninayeendelea na masomo mwaka wa pili sasa na chuo wameshafungua(UDOM) ndugu zangu wanajukwaa ikumbukwe kuwa nilikuwa nasomesha na serikali toka kote nilikopita kwani me ni yatima na sina uwezo wa aina yoyote ile mwaka 2013 nilihitimu kidato cha sita na kufauru hivyo nikaaplay chuo mkopo nikakosa ikanilazim kuahirisha chuo mwaka uliofata nikaaplay tena nikapata chuo mkopo nikakosa tena education UDOM hivyo nilikuwa napiga tempo nikapata hela kidogo kwa ushauri nikaona nitazeheka nikaenda kuripoti chuoni nimeteseka sana ikafika sehemu nikaishiwa hadi chupi kwa maisha ya udom yalivyo magumu nimejikomba hadi mwaka ukaisha nimeomba mkopo tena jamani ndiyo hivo nashindwa nifanyeje jamani naomba ushauri wenu sina pakushika ndugu zangu na chuo ndiyo wanaendelea
 
Me nataka kufa jamani namiaka mitatu sasa nakosa boom hahi nahisi bora ningezaliwa nyani ulaya kuliko kuwa mutu Tz lnchi iliyojaa undugunization na rushwa hasa samaki wakubwa kama wafanyakazi wa heslb mimi kama mwanafunzi ninayeendelea na masomo mwaka wa pili sasa na chuo wameshafungua(udom) ndugu zangu wanajukwaa ikumbukwe kuwa nilikuwa nasomesha na serikali toka kote nilikopita kwani me ni yatima na sina uwezo wa aina yoyote ile mwaka 2013 nilihitim kidoto cha sita na kufauru hivyo nikaaplay chuo mkopo nikakosa ikanilazim kuahilisha chuo mwaka uliofata nikaaplay tena nikapata chuo mkopo nikakosa tena education udom hivyo nilikuwa napiga tempo nikapata hela kidogo kwa ushauri nikaona nitazeheka nikaenda kuripoti chuoni nimeteseka sana ikafika sehemu nikaishiwa hadi chupi kwa maisha ya udom yalivyo magumu nimejikomba hadi mwaka ukaisha nimeomba mkopo tena jamani ndiyo hivo nashindwa nifanyeje jamani naomba ushauri wenu sina pakushika ndugu zangu na chuo ndiyo wanaendelea

pole sana kk hii nchi jamani imejaa undugu sanaa... Ila itafahamika tuu
 
pole sana kk hii nchi jamani imejaa undugu sanaa... Ila itafahamika tuu
nedna kaonane na Mkurugenzi wa bodi ya mikopo. Akikataa kuonana na wewe neda wizara kaonane na katibu mkuu. Uende na vielelezo kama unakizi matakwa ya mkopo
 
Pole sana. Haya yasingekupata kama ccm isingeunda serekali, maana wale jamaa wengine waliahidi elimu ya bure hadi chuo kikuu.
 
Pole jombi weka namba wadau wakuchangie kidogo

Jamani mimi sijuwi maisha yangu yatakuwaje ikumbukwe kuwa mimi ndiyo mtoto pekee nyumban nilibahatika kusoma nawadogo zangu wananiangalia mimi mimi tena ndo hivo tena da dunia hii jamani hadi nahisi vinginevyo kwa msaada zaid napatikana 0743359216
 
Pole sana. Haya yasingekupata kama ccm isingeunda serekali, maana wale jamaa wengine waliahidi elimu ya bure hadi chuo kikuu.

da mkuu nakwambia ni hatar maisha yakiamuwa kugomeshwa na watu vigogo nishida
 
Mh jpm nakumbuka wakati wa kampeni zako
ukiwa morogoro uliwahi sema nakunukuu"najuwa
hapa morogoro kuna vyuo vingi sana swala la
mikopo nitalishugulikia tena anaye gawa hii
mikopo hiiiiiiiiiiiiiiiiii ajiandae haiwezekani
mwanafunzi akose mkopo tena mkopo! "mwisho
wa kunukuu chakushangaza anaegawa mikopo
bado yupo na wanafunzi tumekosa mikopo haya
tunaondelea na masomo mwaka umeisha
tunakula jalalani tukiwa na imani kuwa ipo siku
na sisi serikali itatukumbuka chaajabu hakuna
kinachoendelea wapiga kura wako tunaumia sana
tunaomba utupe mkopo na uanze na huyo mkuu
wa heslb kama ulivyo ahidi nawasilisha inauma
sana maisha magumu sana
 
Nenda ofisi za bodi pale, ila jitahidi uandishi wako mwalimu unaandika kama upo darasa la tatu
 
Ahsante kwa ushauri mkuu siyo hivo uandishi huu unaonesha kiasi gani naumia

Kwani ukiumia ndo uandike "kuzeheka" badala ya kuzeeka, teh pole mwaya....nenda ofisi zao pale sheli onana na wahusika jieleze wa kusaidia ila pia unaweza kuanzia kwa dean of students nae anaweza kukupa mwongozo
 
Kwani ukiumia ndo uandike "kuzeheka" badala ya kuzeeka, teh pole mwaya....nenda ofisi zao pale sheli onana na wahusika jieleze wa kusaidia ila pia unaweza kuanzia kwa dean of students nae anaweza kukupa mwongozo

Bonge la ushauri mkuu ila nasikia pale bodi wanamajibu ya kunya sana hawa watu da Mungu anisaidie
 
Nenda ofisi za bodi pale, ila jitahidi uandishi wako mwalimu unaandika kama upo darasa la tatu

Darasa LA tatu anakuwa amesoma vituo bwana,duh huyu ticha hata mtu ukitaka kumsaidia inabidi ufikirie Mara 2,hv ni mwlwa mwaka wa pili kweli?
 
Me nataka kufa jamani namiaka mitatu sasa nakosa boom hahi nahisi bora ningezaliwa nyani ulaya kuliko kuwa mutu Tz lnchi iliyojaa undugunization na rushwa hasa samaki wakubwa kama wafanyakazi wa heslb mimi kama mwanafunzi ninayeendelea na masomo mwaka wa pili sasa na chuo wameshafungua(udom) ndugu zangu wanajukwaa ikumbukwe kuwa nilikuwa nasomesha na serikali toka kote nilikopita kwani me ni yatima na sina uwezo wa aina yoyote ile mwaka 2013 nilihitim kidoto cha sita na kufauru hivyo nikaaplay chuo mkopo nikakosa ikanilazim kuahilisha chuo mwaka uliofata nikaaplay tena nikapata chuo mkopo nikakosa tena education udom hivyo nilikuwa napiga tempo nikapata hela kidogo kwa ushauri nikaona nitazeheka nikaenda kuripoti chuoni nimeteseka sana ikafika sehemu nikaishiwa hadi chupi kwa maisha ya udom yalivyo magumu nimejikomba hadi mwaka ukaisha nimeomba mkopo tena jamani ndiyo hivo nashindwa nifanyeje jamani naomba ushauri wenu sina pakushika ndugu zangu na chuo ndiyo wanaendelea

wewe unafikiri bod wanapenda usome,nenda bod ukaone magari yalivyojazana mpaka pakunyaga hamna hizi hela za kununulia magari wanatoa wap? halafu wanafunzi wanakosa mikopo
 
Back
Top Bottom