Mungu atakuwa wa ajabu kupokea sala ya ambaye anamuweka mtu jela akidai muhaini na huku hana kosa

Mungu atakuwa wa ajabu kupokea sala ya ambaye anamuweka mtu jela akidai muhaini na huku hana kosa

Sifi Leo

Platinum Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,937
Reaction score
10,815
Nina tamani nifungue mashitaka dhidi ya Mungu anae POKEA maombi ya mtu kama huyu Alie mfunga Tundu Lissu kwa kesi ya uhaini Ili Hali sio muhaini.

Je nisubilie nife, nizikwe nikakutane nae uko Mbinguni? Najiuliza hivi kweli huyu nae alifunga Nini? Anamwomba Mungu ampe uhai? Je ampe mume mwema?je aliomba apewe mtoto kitinda Mimba ??

Je Mungu amekubali maombi yake kweli? NARUDIA namfungulia Mungu mashitaka dhidi ya kupokea sala za Hawa watu Hasa wanadiasa
 
Mungu anatoa baraka zake kwa watu wema na wabaya ndo maana hata wanao wafanyia mabaya yatima, wajane na wengine wenye uhitaji bado wana enjoy life na hao wengine wanazid kuumia

ukisema uanze ku judge matendo ya Mungu anaweza kujikuta unakufuru mengine tuyaache yapite
 
Nina tamani nifungue mashitaka dhidi ya Mungu anae POKEA maombi ya mtu kama huyu Alie mfunga Tundu Lissu kwa kesi ya uhaini Ili Hali sio muhaini.

Je nisubilie nife, nizikwe nikakutane nae uko Mbinguni? Najiuliza hivi kweli huyu nae alifunga Nini? Anamwomba Mungu ampe uhai? Je ampe mume mwema?je aliomba apewe mtoto kitinda Mimba ??

Je Mungu amekubali maombi yake kweli? NARUDIA namfungulia Mungu mashitaka dhidi ya kupokea sala za Hawa watu Hasa wanadiasa
tatizo la Afya ya akili linazidi kuongezeka :HAHAHA: :HAHAHA: 😀 😀 :HAHAHA: :LaughHard:
 
Pole sana ndugu yangu kuja ufikie hapo kweli inauma sana. Yaan nimejikuta nasoma mara tatu huu ujumbe had machozi. Bas tu.
 
Unapaswa kujua kwamba hakuna Mwanaccm anayeamini Mungu, Hawa ni mawakala na wafuasi wa Shetani
 
Nina tamani nifungue mashitaka dhidi ya Mungu anae POKEA maombi ya mtu kama huyu Alie mfunga Tundu Lissu kwa kesi ya uhaini Ili Hali sio muhaini.

Je nisubilie nife, nizikwe nikakutane nae uko Mbinguni? Najiuliza hivi kweli huyu nae alifunga Nini? Anamwomba Mungu ampe uhai? Je ampe mume mwema?je aliomba apewe mtoto kitinda Mimba ??

Je Mungu amekubali maombi yake kweli? NARUDIA namfungulia Mungu mashitaka dhidi ya kupokea sala za Hawa watu Hasa wanadiasa
Samia hakufunga
 
Nina tamani nifungue mashitaka dhidi ya Mungu anae POKEA maombi ya mtu kama huyu Alie mfunga Tundu Lissu kwa kesi ya uhaini Ili Hali sio muhaini.

Je nisubilie nife, nizikwe nikakutane nae uko Mbinguni? Najiuliza hivi kweli huyu nae alifunga Nini? Anamwomba Mungu ampe uhai? Je ampe mume mwema?je aliomba apewe mtoto kitinda Mimba ??

Je Mungu amekubali maombi yake kweli? NARUDIA namfungulia Mungu mashitaka dhidi ya kupokea sala za Hawa watu Hasa wanadiasa
Mbona hamuishi kumaliza nyayo zenu kuombea huyo Mungu wa Wayahudi awape Nguvu kina Netanyahu ya kuua watu wasio na hatia huko Gaza na kwingineko?

Punguzeni ujinga,ukiiingia ulingoni hakuna matokeo ya sare.
 
Mungu anatoa baraka zake kwa watu wema na wabaya ndo maana hata wanao wafanyia mabaya yatima, wajane na wengine wenye uhitaji bado wana enjoy life na hao wengine wanazid kuumia

ukisema uanze ku judge matendo ya Mungu anaweza kujikuta unakufuru mengine tuyaache yapite
Heri wale wenye moyo safi kwa maana watauona Ufalme wa mbinguni 🙏
 
Uzuri wa Mungu ni kuwa Hana unafiki wala UCHAWA.

Ameshaweka bayana kabisa kuwa "Huwezi sema unampenda Mungu usiyemuona wakati binadamu unayemuona unamchukia"
 
Nina tamani nifungue mashitaka dhidi ya Mungu anae POKEA maombi ya mtu kama huyu Alie mfunga Tundu Lissu kwa kesi ya uhaini Ili Hali sio muhaini.

Je nisubilie nife, nizikwe nikakutane nae uko Mbinguni? Najiuliza hivi kweli huyu nae alifunga Nini? Anamwomba Mungu ampe uhai? Je ampe mume mwema?je aliomba apewe mtoto kitinda Mimba ??

Je Mungu amekubali maombi yake kweli? NARUDIA namfungulia Mungu mashitaka dhidi ya kupokea sala za Hawa watu Hasa wanadiasa
Unakosea unapofikiri Mungu wanayemfuata wao ni Mungu uliyenaye akilini mwako.

Wao wanaye mungu wanayemtengeneza wenyewe na kumtumia kufanya hadaa kwa watu wengine.

Mungu wao ni mungu wa sanaa.

Kwa sasa hivi, hakuna mungu anayemzidi anayemwamini Samia kumbakisha madarakani kwa nguvu; hadi kuua binaadam wenzake.
Ukimuuliza Samia na nguruwe wake wote watakwambia matakwa ya mungu yalihimiza watu kuuliwa ili Samia abaki madarakani. Huyo ndiye mungu wanayemwamini.
 
Mbona hamuishi kumaliza nyayo zenu kuombea huyo Mungu wa Wayahudi awape Nguvu kina Netanyahu ya kuua watu wasio na hatia huko Gaza na kwingineko?

Punguzeni ujinga,ukiiingia ulingoni hakuna matokeo ya sare.
Mungu wa Samia na nguruwe kama wewe; kamwagiza Samia auwe waTanzania ili abaki madarakani kwa nguvu. Huyo ndiye mungu wenu?
 
Nina tamani nifungue mashitaka dhidi ya Mungu anae POKEA maombi ya mtu kama huyu Alie mfunga Tundu Lissu kwa kesi ya uhaini Ili Hali sio muhaini.

Je nisubilie nife, nizikwe nikakutane nae uko Mbinguni? Najiuliza hivi kweli huyu nae alifunga Nini? Anamwomba Mungu ampe uhai? Je ampe mume mwema?je aliomba apewe mtoto kitinda Mimba ??

Je Mungu amekubali maombi yake kweli? NARUDIA namfungulia Mungu mashitaka dhidi ya kupokea sala za Hawa watu Hasa wanadiasa
Ni neema ya Mungu pekee ndio iokoayo. Huyu mama atubu dhambi zake zote na Mungu atamsamehe na kumweka huru kutoka kwenye kifungo Cha laana lilichosimama juu yake. Na kabla hajaingia kuomba toba kwa Mungu huyu Samia anapaswa naye kwanza kuwasamehe wote waliomkosea na ahakikishe pia wale wote aliowakosea wamemsamehe, wakiwemo watanzania wote Kwa yaliyotokea 29 Oct na pia kumuomba msamaha Tundu Lissu kwa walichomfanyia kisicho cha haki. Ndipo arejee kwa Mungu na hakika atasamehewa na atalala kwa amani na siku ya kulala atamwona Mungu.
 
Back
Top Bottom