1. Kwa wale wanaoandika txt, 'Nakumiss' halafu kuituma kwa wapenzi 20..........MUNGU ANAWAONA
2. LUKU imekata kwenu umekaa nje unatext watu,'Niko nje napata upepo mwanana'.......MUNGU ANAWAONA
3. Huna kazi, mpenzi wako mtumishi wa serikali mshahara laki 3 kwa mwezi, Birthday yako unatumia milioni mbili......MUNGU ANAKUONA
4. We ni kiserengeti boy una mpenzi wa miaka 50, unamtext 'Njoo baby', we huyo baby au nyanya yako?.....MUNGU ANAKUONA
5. Unapiga picha sebule ya boss wako unaiweka FB na kukoment Home Sweet Home........MUNGU ANAKUONA
6.
7.
8.
9.
10.
endelea........
nimeshnda salama mpendwa,ndo nafunga vyangu virago kurudi hm! uwe na jion njema. . .
Mnaojifanya kuongea na simu kumbe ni pozi la kuwapita watu bila salaam.............................Mungu anawaona!
he he he.....na wale wanaopeleka nyama kwa kimada.....watoto nyumbani wanakula kabichi kavu....Mungu anawaona.....
Wale wote wanaosema wako Single na wakati wana wapenzi zaidi ya Watatu....Mungu Anawaona
Hahahahaaaa umeona eeehumenena
Wale wote wanaosema wako Single na wakati wana wapenzi zaidi ya Watatu....Mungu Anawaona
he he he.....na wale wanaopeleka nyama kwa kimada.....watoto nyumbani wanakula kabichi kavu....Mungu anawaona.....
:mwaaah: :mwaaah: :mwaaah:
Hii kali dah....wapenzi zaidi watatu afu bado unajitangaza uko single??????......Mungu anawaona
Hao Mungu anawamulika!Wale wote wanaosema wako Single na wakati wana wapenzi zaidi ya Watatu....Mungu Anawaona
:couch2: