Mungu anafaidika/anafurahia nini vitu hivi kutoka kwa binadam?

Hata kama humuamini ila si kwa hatua hii uliyofikia.....astaghfirullah!!!! Ndugu wewe nakuona kama uliyechanganywa na vile vitopic vya philosophy form 5&6 nothing else!!....usitutukanie Mungu wetu please...na umelaaniwa wewe pamoja na kizazi chako chote
Panic sio mahala pake hapa mkuu!
 
mods post kama hizi za wendawazimu wanaomdhihaki mungu naomba muwe mnazifuta tafadhali maana hii imezidi kila kukicha MTU anaibuka na post za kijinga kama hizi siipendi mimi
 
mods post kama hizi za wendawazimu wanaomdhihaki mungu naomba muwe mnazifuta tafadhali maana hii imezidi kila kukicha MTU anaibuka na post za kijinga kama hizi siipendi mimi
Kwahiyo unataka sote tuamini uwepo wa Mungu?
HAITAWEZEKANA.
 
mods post kama hizi za wendawazimu wanaomdhihaki mungu naomba muwe mnazifuta tafadhali maana hii imezidi kila kukicha MTU anaibuka na post za kijinga kama hizi siipendi mimi
Ungemjua huyo Mungu ungejibu maswali yanayoulizwa na sio kumwaga matapishi hapa!
 
Naaamini lakini " sio huyu wa kwenye haya mavitabu ...maana ana mapungufu " Mno "
Huezi ukasema unaamini uwepo wa mung pasina kukubal na vitabu vyake Mkuu,hapo bado iman yako ni ndogo Sana Sawa na hakuna
 
Ukizingatia Mungu ni mweza yote na mwema haya yote kuomba, kufunga na kutoa zaka ni huyu Mungu anataka au ni kujipendekeza?? Unaomba nini na anajua kila kitu? kufunga ni kuumiza mwili ambao roho imo ndani je anaruhusu hilo? Unatoa zaka kushibisha matumbo ya wajanja je huu ni uuuuungwana? Nilikua najiuliza sana hayo mambo matatu kuhusu Mungu. We live in a Universe created by God (omnipotent and benevolent) with all kinds of pains, suffering :how can He (I don't the gender of God) allow evil? That's why I'm doubting about the existence of God
 
1. Hoja ya kwanza kwanini uombe wakati tayari anajua?

Ni kweli kama ulivyoeleza Mungu anajua mahitaji yetu maana kwenye maandiko matakatifu kwa sisi tunaoamini uwepo wake amesema kabla hamjaomba tayari anajua mahitaji yetu lakini tunaomba ili tuonyeshe utegemezi wetu kwake kama mtoaji hata baba uliyemtolea mfano pamoja na anajua unahitaji lkn pia hupenda iwapo utaenda kumuelezea shida kisha ndio akupe

2. Ibada ya kufunga na kuomba ni njia ya kujidhiri mbele za Mungu ukimuomba akusaidie kwa mambo unayoyahitaji. Ukisoma Mathayo 17:21 Yesu anasema namna hii haitoki isipokuwa kwa kufunga na kuomba kwa hiyo kuna changamoto mbalimbali mtu hupitia ktk maisha haya ambazo ni ngumu kwake inawezekana ugonjwa, muenendo mbaya wa maisha yake nk na zinashindikana kupitia kufunga Mungu hufungua njia. Lakini pia kufunga ni ibada ya kurejesha mahusiano yetu na Mungu wetu yaliyopotea maana huambatana na toba za dhati, lkn pia ni njia bora ya kusaidia kuboresha afya.

3. Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana. Mungu haitaji chochote maana vyote ni vyake. Zaka na sadaka hutumika kwa makusudi ya injili. Kwa kuwa vyote ni vyake ameviweka mikononi mwetu ili tuvitumie kwa kazi yake pia. Zaka ni mahususi kwa ajili ya watumishi wake wachungaji nk ambao hawa hufananishwa na makuhani au wana wa Lawi ambao hawa enzi za Israel hawakupata urithi sawa na ndugu zao maana Bwana ndiye aliyekuwa urithi wao na hivyo kuagiza zaka ili iwe kwa ajili yao. Sadaka hii hutumika kwa ajili ya upelekaji wa injili na huduma za kanisa.
 
Nachoweza sema nikimoja.

Kila goti litapigwa mbele yake Mungu, yaan nyie ruken ruken.,, njoon na tafiti zenu. Ila aminn Goti litapigwa tuuu!! .

Sema watu km nyie ,mbinguni ndo mnaenda, mnawapoteza watu weeeee,alafu mkikaribia kukata mnatubu dhambi zenu nahivi Mungu ni mwingi wa Huruma anawasamehe.

Mungu ni Mungu tu,na atabaki kua Mungu Maishan mwangu. Namaishan mwako.

Siku moja, kaa chini alafu jaribu kufikiria juu ya mfumo wako wa upumuaji,... Utakoma kuhoji habari za ukuu wa Mungu.
 
Back
Top Bottom