Louis II
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 3,030
- 4,645
Hata kama humuamini ila si kwa hatua hii uliyofikia.....astaghfirullah!!!! Ndugu wewe nakuona kama uliyechanganywa na vile vitopic vya philosophy form 5&6 nothing else!!....usitutukanie Mungu wetu please...na umelaaniwa wewe pamoja na kizazi chako choteIla Mungu ni zuzu jamani! eti wakati wa kusali, tumpe misifa ndio atajibu maombi yetu kwa wakati!