figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Salaam Wakuu,
Uchaguzi wa 2020 ulilkuwa ni Uchafuzi
Watu walikusanyika kumuombea Tundu Lissu apone, wakakamatwa na kufungwa miaka 4 kwa Uchochezi huku Magufuli akisema anatumbua.
Watu wenye maduka ya kubadilisha fedha wakanyang'anywa fedha zao nchi nzima eti ni mafisadi.
Wanyama wa Serengeti na Mikumi wakahamishiwa Chato eti Watalii waende.
Akamtumia Wakala wa Shetani Musiba kuwachafua Kinana na Membe ili wafukuzwe CCM baada ya kuambiwa afuate katiba na kanuzi za CCM. Pia Nape akafuatwa na watu wenye Silaha akaokolewa na kitenge.
Watu wamenyang'anywa hela kwa kesi za kubambikizia ili waombe msamaha waambie toa pesa.
Watu ambao hawakukubakiana naye hasa CHADEMA, walifungwa maisha kwa makosa ya kubambikiza ya wizi, unyang'anyi wa kutumia silaha na ubakaji.
Magufuli alitabasamu Maalim seif wa ACT alipokufa akijua eti Zanzibar ndo itatulia,. Baada ya kifo cha Seif Mungu akaingilia kati.
Sababu Mzilankende alikufa bila kutubu dhambi, kwa sasa yupo na moto ulao
Pole sana Tundu Lissu, Watesi wako hatutawasahu wao na vizazi vyao. Watanzania cheo dhamana, usimtendee ubaya binadamu kisa cheo chako. Hili ni fundisho
Pia soma;
Shinyanga: Viongozi wa CHADEMA Simiyu waliofungwa maisha waachiwa huru
Asante Mungu kwa kumuongezea Uhai Tundu Lissu, sasa yu mzima anatabasamu
Wananchi wakimuombea Tundu Lissu apone baada ya kukatazwa kwenda kuchangia damu alipo pigwa risasi bila kosa, kisa kakataa kujiunga CCM. Sijaona picha ya Wananchi wakimuombea jamaa yule Magufuli apone.
Polisi walielekezwa kuwazuia watu wanaomuombea Tundu Lissu apone. Wakileta jeuri wabambikiziwe kesi. Hata walioenda kuchangia damu walikamatwa. Hii thread ni kumbukumbu kwa miaka mingi ijayo kwa vizazi vya Tanzania kwamba tulikuwa na Magufuli na wafuasi wake wenye vitendo kama vyake
Huyu ndo Hayati John Pombe Magufuli ambaye Wafuasi wake wanadai hajafa. Eti atafufuka🤣🤣. Wengine wanadai eti ameuliwa wengine wanadai eti hakuwa Fisadi, Mbaguzi na alikuwa hapendelei kwao Usukumani. Wengjne wanasema hajanyang'anya watu pesa zao, wengine wanadai aliwapenda matajiri. Hakika Mungu ni Mkuu, hakuna asilo liweza. Ukiomba kwa bidii yote yanawezekana
Uchaguzi wa 2020 ulilkuwa ni Uchafuzi
Watu walikusanyika kumuombea Tundu Lissu apone, wakakamatwa na kufungwa miaka 4 kwa Uchochezi huku Magufuli akisema anatumbua.
Watu wenye maduka ya kubadilisha fedha wakanyang'anywa fedha zao nchi nzima eti ni mafisadi.
Wanyama wa Serengeti na Mikumi wakahamishiwa Chato eti Watalii waende.
Akamtumia Wakala wa Shetani Musiba kuwachafua Kinana na Membe ili wafukuzwe CCM baada ya kuambiwa afuate katiba na kanuzi za CCM. Pia Nape akafuatwa na watu wenye Silaha akaokolewa na kitenge.
Watu wamenyang'anywa hela kwa kesi za kubambikizia ili waombe msamaha waambie toa pesa.
Watu ambao hawakukubakiana naye hasa CHADEMA, walifungwa maisha kwa makosa ya kubambikiza ya wizi, unyang'anyi wa kutumia silaha na ubakaji.
Magufuli alitabasamu Maalim seif wa ACT alipokufa akijua eti Zanzibar ndo itatulia,. Baada ya kifo cha Seif Mungu akaingilia kati.
Sababu Mzilankende alikufa bila kutubu dhambi, kwa sasa yupo na moto ulao
Pole sana Tundu Lissu, Watesi wako hatutawasahu wao na vizazi vyao. Watanzania cheo dhamana, usimtendee ubaya binadamu kisa cheo chako. Hili ni fundisho
Pia soma;
Shinyanga: Viongozi wa CHADEMA Simiyu waliofungwa maisha waachiwa huru
Asante Mungu kwa kumuongezea Uhai Tundu Lissu, sasa yu mzima anatabasamu
Wananchi wakimuombea Tundu Lissu apone baada ya kukatazwa kwenda kuchangia damu alipo pigwa risasi bila kosa, kisa kakataa kujiunga CCM. Sijaona picha ya Wananchi wakimuombea jamaa yule Magufuli apone.
Polisi walielekezwa kuwazuia watu wanaomuombea Tundu Lissu apone. Wakileta jeuri wabambikiziwe kesi. Hata walioenda kuchangia damu walikamatwa. Hii thread ni kumbukumbu kwa miaka mingi ijayo kwa vizazi vya Tanzania kwamba tulikuwa na Magufuli na wafuasi wake wenye vitendo kama vyake
Huyu ndo Hayati John Pombe Magufuli ambaye Wafuasi wake wanadai hajafa. Eti atafufuka🤣🤣. Wengine wanadai eti ameuliwa wengine wanadai eti hakuwa Fisadi, Mbaguzi na alikuwa hapendelei kwao Usukumani. Wengjne wanasema hajanyang'anya watu pesa zao, wengine wanadai aliwapenda matajiri. Hakika Mungu ni Mkuu, hakuna asilo liweza. Ukiomba kwa bidii yote yanawezekana