Mungu akupe neema ya kujenga nidhamu ya kunyamaza

Elli

Platinum Member
Mar 17, 2008
55,500
86,041
1. Kunyamaza wakati fulani maishani mwako siyo kipawa bali ni nidhamu (Wathesalonike 4: 11).

2. Nyamaza unapohisi hasira (Mithali 14:17).

3. Nyamaza unapokuwa huna taarifa ya kutosha au ukweli kuhusu unachotaka kusema (Mithali 18:13).

4. Nyamaza unapokuwa ni wakati wako kusikiliza na kujifunza (Mithali 13: 1).

5. Nyamaza ukigundua kwamba maneno yako yataleta picha mbaya (Mithali 17: 27)

6. Nyamaza ukijua kile unachotaka kusema kitaharibu jina na sifa ya mwenzio (Mithali 16: 27).

7. Nyamaza ukijua utakachosema kitaharibu urafiki na kujeruhi mwenzako (1Wakorintho 15: 33)

8. Nyamaza ukigundua kwamba utaaibika baadaye kwa sababu ya ulichokisema (Mithali 8:8).

9. Nyamaza ukijua unachotaka kusema kitamdhalilisha Mungu, wewe mwenyewe au familia yako (1Petro 2: 21-23).

10. Nyamaza ikiwa wakati ulio nao ni wakati wa kazi (Mithali 14: 23).

11. Mtu azuiaye kinywa chake na ulimi wake, atajilinda nafsi yake na taabu (Mithali 21: 23).

Mungu akupe neema ya kujenga nidhamu ya kunyamaza kwa maana maneno ya kinywa chako ni mtego kwako (Mithali 6: 2).
 
Naona watu ni wepesi sana akilini hasa baada ya kuondokewa mpendwa wetu Bulldozer. Hakuna hapa palipoandikwa: JIFUNZE KUNYAMAZA ^CAR-BEE-SIR^ but only, JIFUNZE KUNYAMAZA. It means, KUNA WAKATI wa kunyamza, kama alivyoelezea huyu mbunge wetu hapa.

NB: Not always do mere words solve problems. It is then that silence do.
 
1. Kunyamaza wakati fulani maishani mwako siyo kipawa bali ni nidhamu (Wathesalonike 4: 11).

2. Nyamaza unapohisi hasira (Mithali 14:17).

3. Nyamaza unapokuwa huna taarifa ya kutosha au ukweli kuhusu unachotaka kusema (Mithali 18:13).

4. Nyamaza unapokuwa ni wakati wako kusikiliza na kujifunza (Mithali 13: 1).

5. Nyamaza ukigundua kwamba maneno yako yataleta picha mbaya (Mithali 17: 27)

6. Nyamaza ukijua kile unachotaka kusema kitaharibu jina na sifa ya mwenzio (Mithali 16: 27).

7. Nyamaza ukijua utakachosema kitaharibu urafiki na kujeruhi mwenzako (1Wakorintho 15: 33)

8. Nyamaza ukigundua kwamba utaaibika baadaye kwa sababu ya ulichokisema (Mithali 8:8).

9. Nyamaza ukijua unachotaka kusema kitamdhalilisha Mungu, wewe mwenyewe au familia yako (1Petro 2: 21-23).

10. Nyamaza ikiwa wakati ulio nao ni wakati wa kazi (Mithali 14: 23).

11. Mtu azuiaye kinywa chake na ulimi wake, atajilinda nafsi yake na taabu (Mithali 21: 23).

Mungu akupe neema ya kujenga nidhamu ya kunyamaza kwa maana maneno ya kinywa chako ni mtego kwako (Mithali 6: 2).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom