Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 51,636
- 23,072
CHRISTINA SHUSHO AMEMKOSEA MUMEWE, ATUBU
Kitendo cha Christina Shusho kusema kwamba aliozeshwa akiwa mdogo bila idhini yake ni kumdhalilisha huyo aliyekuwa mume wake kwamba alikuwa mkubwa sana kwake (mzee) na alimuoa kimabavu, kwanini hakuachana nae kipindi hicho hicho au kwenda kushtaki? Au kuna kitu alikuwa anapata hakipo tena ndio anaamua kumchafua? Maswali ni mengi yenye mashaka.
Nimeona video anahojiwa hata pete ya ndoa hajavaa anaulizwa kwanini anasema ni suala la makubaliano aliamua kumuacha mumewe kwenda kutimiza ndoto zake na ilikuwa kwa amani anasema habari za mume na mke kuwa mwili mmoja kwake siku hizi hazipo. Kule kwa mumewe alipokuwa anasema akiamua anaenda kutembelea tu. Hii sio sahihi ndugu zangu.
Imefika hatua anasema kwamba hapendi kuitwa pastor Christina Shusho anasema yeye sio mchungaji ila ana watu wa karibu wachungaji yeye hajiskii vizuri kuitwa pastor, kweli? Muimbaji wa nyimbo za Injili unaehubiri kupitia nyimbo hutaki kuitwa mchungaji??? Unaogopa nini? Ni mambo gani hasa yanakupa aibu kuitwa pastor?
Binafsi nasimama na huyo mume, naona suala la ndoa la Christina Shusho limekaa upande mmoja yeye tu ndio anaongea kwenye media na majukwaa mbalimbali kwamba alifosiwa kuolewa mara alijitoa kwenye ndoa kutimiza maono yake nk ukweli unabaki kwa mume huenda nae ana mengi ya kuzungumza ila ana kifua, sio ropo ropo.
Nadhani siku huyo mzee (ambaye Christina anadai aliozeshwa kwake akiwa mdogo kwamba ni mkubwa sana kwake) akiongea huenda tukakosa pa kuficha sura zetu yanaweza kuwa mambo mazito mno
Nadhani mume ameamua kutumia busara kukaa kimya kuepusha taharuki kubwa zaidi
Sioni kama kulikuwa na haja ya Christina Shusho kuongelea haya mambo hadharani yalipaswa kuwa binafsi
Wanawake jifunzeni, mambo ya ndoa sio ya kuweka hadharani.
Kitendo cha Christina Shusho kusema kwamba aliozeshwa akiwa mdogo bila idhini yake ni kumdhalilisha huyo aliyekuwa mume wake kwamba alikuwa mkubwa sana kwake (mzee) na alimuoa kimabavu, kwanini hakuachana nae kipindi hicho hicho au kwenda kushtaki? Au kuna kitu alikuwa anapata hakipo tena ndio anaamua kumchafua? Maswali ni mengi yenye mashaka.
Nimeona video anahojiwa hata pete ya ndoa hajavaa anaulizwa kwanini anasema ni suala la makubaliano aliamua kumuacha mumewe kwenda kutimiza ndoto zake na ilikuwa kwa amani anasema habari za mume na mke kuwa mwili mmoja kwake siku hizi hazipo. Kule kwa mumewe alipokuwa anasema akiamua anaenda kutembelea tu. Hii sio sahihi ndugu zangu.
Imefika hatua anasema kwamba hapendi kuitwa pastor Christina Shusho anasema yeye sio mchungaji ila ana watu wa karibu wachungaji yeye hajiskii vizuri kuitwa pastor, kweli? Muimbaji wa nyimbo za Injili unaehubiri kupitia nyimbo hutaki kuitwa mchungaji??? Unaogopa nini? Ni mambo gani hasa yanakupa aibu kuitwa pastor?
Binafsi nasimama na huyo mume, naona suala la ndoa la Christina Shusho limekaa upande mmoja yeye tu ndio anaongea kwenye media na majukwaa mbalimbali kwamba alifosiwa kuolewa mara alijitoa kwenye ndoa kutimiza maono yake nk ukweli unabaki kwa mume huenda nae ana mengi ya kuzungumza ila ana kifua, sio ropo ropo.
Nadhani siku huyo mzee (ambaye Christina anadai aliozeshwa kwake akiwa mdogo kwamba ni mkubwa sana kwake) akiongea huenda tukakosa pa kuficha sura zetu yanaweza kuwa mambo mazito mno
Nadhani mume ameamua kutumia busara kukaa kimya kuepusha taharuki kubwa zaidi
Sioni kama kulikuwa na haja ya Christina Shusho kuongelea haya mambo hadharani yalipaswa kuwa binafsi
Wanawake jifunzeni, mambo ya ndoa sio ya kuweka hadharani.