What's wrong with this? mi sioni ubaya.
Tena naona mazingira yao ya ulaya haya
Yoooote mi naona ni sawa tu ila kuna kimoja:
Nisimkute kakalia mbuzi anakuna nazi. :nono:
Tuache mfumo dume,wapi wameandika kuwa mwanamke ndie wa kubeba mtoto,au atakiwi pika?nendeni hapo tu South Africa Wanaume wanapikia wake zao na kufanya usafi majumbani,ata hapa baadhi ya marafiki zangu usiku wakitoka makazini wanabembeleza watoto na kuwapashia maziwa moto wakati my wife wake anapumzika kutokana na kazi na malezi ya mtoto mchana.Wanaume kazi yao sio tu kutia mimba na kekesha baa,na mabaa maid,unarudi ucku mkeo kutwa nzima yupo na mtoto anamsumbua wewe unarudi unamnukia Konyagi au value,unakoroma kama mashine ya kusaga ya dizel,mwenzio ucku still alali mtoto anamsumbua wewe unabaki kujisifia nna watoto watatu....nyambafu
ila sasa hapa ingebidid tuonyeshwe na huyo mama akiwa kaumzika pembeni ya mumewe, ili tujue kweli kwamba ni mapenzi ya tu na siyo shida. lakini ukweli jamaa kajitoa sana kwa family inabidi mkewe awe na hashima sana kwa huyu baba :love: :love:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.